Mwaka MpyaHuyo mtu!!
Hasikiki Sana kwenye vyombo vya habari,wala hana juhudi zozote za kuutafuta u FDR!
Atakuwa introvert in nature!ananikumbusha Mwinyi enzi zake za uwaziri wa ulinzi!!
Kijana Inocent Bashungwa,ana fall kwenye category Hiyo!!
Ningesema Mpango But no coz lile Boko la samaki kanda ya ziwa linaharibu KWA sifa tajwa hapo!
Ya Mungu Mengi pia! ngoja Tuone!
Tuna miezi mitano tu wa hayo yote kutokea!
Tazama top ten NEC, MATOKEO ya juzi !YUPO humo! Kati ya Namba 2 na 10!Dkt BASHIRU ALLY KAKURU
Kwenye MPIRA Namba kumi ni Namba ya kiungo mshambuliaji,naiona Namba KUMI kwenye MATOKEO ya u NEC!!0933; Anayekwenda kukabidhiwa kiti ni ASKOFU GWAJIMA. MUNGU ibariki TANZANIA.Amen.
Yatatokea tusubiri mkuuTumia akili kiko wapi ulichokisema au ulikuwa unafurahisha jukwaa?
Mkuu mimi nimekata tamaa hasa ninapoona sarakasi za Mwingulu NchembaYatatokea tusubiri mkuu
Subira yavuta kheri yahkeMkuu mimi nimekata tamaa hasa ninapoona sarakasi za Mwingulu Nchemba
Mwaka huu hauishi sio?Wakuu
Mwaka 1933 mpaka mwaka 1945 alipofariki, FDR alikuwa Rais wa Marekani. Alichaguliwa katika chaguzi nne kinyume na tradition za nchi kwasababu mbalimbali ikiwemo WWII.
Alisaidia sana kuijenga nchi baada ya great depression na alifanya reforms nyingi kama kuiunda SEC, sheria ya mahusiano kazini, pensheni, usawa katika ajira, ujenzi wa pentagon, federal deposit insurance corporation etc
Alikuwa Rais wa kwanza kutumia redio na kuwa televised in US na muhimu zaidi huyu ndiye Rais aliyeileta Marekani kuwa global super power. Kuna similarities zipo mbele hapa zinaonesha aina hii ya progress huku kwetu. Mtu mnyenyekevu, intelligent, strategic, calm, visionary, truthful and patriotic atafanikisha next stage.
Nikiangalia naona tena miaka 12 ya mtu katika eneo la huku. Last digit ya miaka iliyotajwa inadhihirika kujirudia.
Tuendelee kusubiria maana namba hizo ndio hizohizo zinajionesha.
Subira mkuuMwaka huu hauishi sio?
Yupo anachangia humu Kwa Machale Sana!Mtoa uzi nina mashaka nae kama yuko hai maaI'mna Last seen September, 2022View attachment 2511950
Au ndio weweYupo anachangia humu Kwa Machale Sana!
Lema amerudia tena jukwaani Leo, kuwa alipenyezewa taarifa na akamwambia Lissu na akakiri kuwa aliambiwa na akapuuza.Hahaha hamna kitu mkuu.
Rashidi namfahamu personal tangu tunabangaiza wote maisha hapo msewe. Kanisa lake nimepiga bati na kuzungushia mabati kipindi anaanza huduma zake, yeye kutwa alikuwa anashinda hapo cafe anawapanga wazungu wamwage pesa.
Akija KWANGU analia lia lia hali ngumu BASI mkewe anatuchinjia visungura[emoji1787].
Tulioshi na rashidi tunamjua in and out hana hizo sifa kabisa hafahi hata kuongozana kijiji.
Rashidi mjanjaa mjanja ambaye anacheza na fursa.
Magu alijaa KWA rashidi akawa anampiga matukio tu.
Wa wasiojua wanafikiri jamaa ni mtu wa kitengo labda icho kitengo Apewe SASA hivi.
Dr gwajima ndiyo alikuwa anatupiga tafu ya maisha[emoji28]
AnakujaDah siku zinaendaaa[emoji16] andiko litatimia kweli au tusubiri lingine?.
Tumia akili alishasema wamesitisha baada ya matakwa yao kukubaliwa. Labda ndio haya wanayoita maridhiano.Dah siku zinaendaaa[emoji16] andiko litatimia kweli au tusubiri lingine?.