Uhakiki
JF-Expert Member
- May 18, 2017
- 7,288
- 7,704
Mwaka MpyaHuyo mtu!!
Hasikiki Sana kwenye vyombo vya habari,wala hana juhudi zozote za kuutafuta u FDR!
Atakuwa introvert in nature!ananikumbusha Mwinyi enzi zake za uwaziri wa ulinzi!!
Kijana Inocent Bashungwa,ana fall kwenye category Hiyo!!
Ningesema Mpango But no coz lile Boko la samaki kanda ya ziwa linaharibu KWA sifa tajwa hapo!
Ya Mungu Mengi pia! ngoja Tuone!
Sent from my SO-01J using JamiiForums mobile app