Franklin D Roosevelt (FDR) na uongozi wa miaka 12 kujirudia Tanzania

Kwahizi ripoti za CAG na ufisadi unaondelea ni wazi kabisa Mama hatoendelea 2025
 
Hahahah , MR 001 bado uko na haya mawazo ama ?
 
Natamani Dr mwinyi awe Rais wa Tanzania.yupo vizuri Mara 100 ya huyu mama.
Hahaha
BADO sana tusubiri!!
Hahaha Sawa Mkuu acha sisi wateja wa kampuni tuendelee kununua tu bidhaa .

Ila hiyo bidhaa inayoletwa Sokoni haiwezi kupita kwa wale jamaa wa Quality Assurance maana Upatikanaji wake tu wa Zabuni board haikuridhia, navyokumbuka Mwenyekiti aliepita wa board kwa sababu alikua na maslahi na mbunifu wa hiyo bidhaa akatumia kura yake ya veto kuipitisha hiyo bidhaa ikauzwe kule kisiwani iko na impurities nyingi sana !
 
Nasikia hata 003 aliikataa hiyo bidhaa AISEH!!

Nasikia bidhaa THAMANI yake imepandae hadi inakodisha ardhi kama poni ya mauzo huko kisiwani au sio!!!?
 
Tumia akili ,binafsi nimemuelewa Sana Tena sana.ila sijajua ni Kama juzi au ni plan B,itatufikisha hapo.oky ngoja tuone !!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…