Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahah , MR 001 bado uko na haya mawazo ama ?Sidhani
Mpango sidhani kama ni mtu wao!!halafu sifa za muhusika ni humble, intelligent pia kishafanya kitu kama pension za wastaafu,mifumo ya kimtandao na n.k!!ni nani??zaidi ya Mwinyi Junior aliezindua mkonga wakitaifa mitandao?? Zanzibar inang'aa kwa sasa na watu wanamkubali kama Mwinyi??
BADO sana tusubiri!!Hahahah , MR 001 bado uko na haya mawazo ama ?
HahahaNatamani Dr mwinyi awe Rais wa Tanzania.yupo vizuri Mara 100 ya huyu mama.
Hahaha Sawa Mkuu acha sisi wateja wa kampuni tuendelee kununua tu bidhaa .BADO sana tusubiri!!
Nasikia hata 003 aliikataa hiyo bidhaa AISEH!!Hahaha
Hahaha Sawa Mkuu acha sisi wateja wa kampuni tuendelee kununua tu bidhaa .
Ila hiyo bidhaa inayoletwa Sokoni haiwezi kupita kwa wale jamaa wa Quality Assurance maana Upatikanaji wake tu wa Zabuni board haikuridhia, navyokumbuka Mwenyekiti aliepita wa board kwa sababu alikua na maslahi na mbunifu wa hiyo bidhaa akatumia kura yake ya veto kuipitisha hiyo bidhaa ikauzwe kule kisiwani iko na impurities nyingi sana !
Tumia akili, unamanisha huyu mwamba ambaye ni makamu anaweza tuvusha kweli, Mana simwamini nahisi ana philosophy za jiwe ivi
Tumia akili ,binafsi nimemuelewa Sana Tena sana.ila sijajua ni Kama juzi au ni plan B,itatufikisha hapo.oky ngoja tuone !!Wakuu
Mwaka 1933 mpaka mwaka 1945 alipofariki, FDR alikuwa Rais wa Marekani. Alichaguliwa katika chaguzi nne kinyume na tradition za nchi kwasababu mbalimbali ikiwemo WWII.
Alisaidia sana kuijenga nchi baada ya great depression na alifanya reforms nyingi kama kuiunda SEC, sheria ya mahusiano kazini, pensheni, usawa katika ajira, ujenzi wa pentagon, federal deposit insurance corporation etc
Alikuwa Rais wa kwanza kutumia redio na kuwa televised in US na muhimu zaidi huyu ndiye Rais aliyeileta Marekani kuwa global super power. Kuna similarities zipo mbele hapa zinaonesha aina hii ya progress huku kwetu. Mtu mnyenyekevu, intelligent, strategic, calm, visionary, truthful and patriotic atafanikisha next stage.
Nikiangalia naona tena miaka 12 ya mtu katika eneo la huku. Last digit ya miaka iliyotajwa inadhihirika kujirudia.
Tuendelee kusubiria maana namba hizo ndio hizohizo zinajionesha.
Tunasafirisha.Mwezi wa 5 tunazika au tunasafirisha?
Jipya ni kuwa kete ishagongwa tayari keep nachofata no domino effect,yaani dodo tayari,tuone kinachojiri baadae!!!Tunaelekea juni bado hakuna jipya
WACHA tuone. Kuna mzee mmoja SIMUONI mtaani..Jipya ni kuwa kete ishagongwa tayari keep nachofata no domino effect,yaani dodo tayari,tuone kinachojiri baadae!!!
Atakuwa yupo vakasheni ulaya hukoWACHA tuone. Kuna mzee mmoja SIMUONI mtaani..
WACHA tuone mkuuAtakuwa yupo vakasheni ulaya huko
Hakuna jambo.Kule kwa yoga naye katukimbia mpka december