Franklin D Roosevelt (FDR) na uongozi wa miaka 12 kujirudia Tanzania

Hapana.

Ukikaunti miaka 12.

Si yeye...

Ni Philip Mpango
 
Usiogope hakuna aijuae kesho.
Jakamoyo msoga
 
Nazi germany wakijenga barabara au reli kwa wingi?
 
Nazi germany wakijenga barabara au reli kwa wingi?

Highway system kama tuijuavyo leo hii na kama yalivyo mambo mengi idea ya Adolf Hitler na Nazis , FDR aliona NAZI Germany Highway System akakopi na kujenga US Highway System, alichukua idea kutoka NAZI Germany!
 
sawa kaka Nape umeeleweka. Endelea kutema material mkuu, kumbe unaijua history vzr.
 
Life,, I wonder

Ngoja tuone kama Tz itakuwa nchi ya maziwa na asali
 
labda kama unamaanisha katiba mpya itatengenezwa mwaka huu 2022 na samiah atagombea tena na kupitishwa kwa miaka 10 ukiongeza na hii 2 anayomaliza jumla ni 12, hapo sawa.

samiah ni mama mzr na mchapa kazi, analiongoza taifa vzr, bado tunamtaka na kumuhitaji na ulinzi aongezewe.
 

Kumlinganisha FDR na Hangaya ni sawa na kumlinganisha mamba na mjusi. Jifunze kuwa na haya!
 
Watafanya mechanism gani ili kumtoa Mpango?
Magufuli yeye aliondokaje? Tumuombee tu Mpango. Kuna watu walifura alipoteuliwa umakamu wakidai hakijui chama wakaenda hadi kumtusi rais eti ana elimu ya kuungaunga kama ya mzee Mwinyi.

Pengine kama mtu wao waliyemtaka kwenye umakamu angepenya, leo hii samia angekuwa historia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…