Franklin D Roosevelt (FDR) na uongozi wa miaka 12 kujirudia Tanzania

we jamaa unapenda sana hizi mada inaonekana unamuelewa sana jamaa akili hahah
 
Hivi katiba si inamruhusu kugombea kipindi kimoja tu, yaani mwaka 2025; hiyo ya 2030-2035 mnaitoa wapi? Unless tubadiri katiba
Katiba inasema kama ni miaka isiyozidi mitatu basi anaruhusiwa kugombea 10 ya kwake
 
Toa ushambaa hapa ,utashia kusifia, ooo mapambio wala huwezi kutubadilisha kituu bwana ,

Nyookooo eti mnyenyekevu

Kama ni shujaa umwachie mboye
 
Mda ni mwalimu.
As long as nothing will last forever.
 
Ungejipa muda wa kutulia na kusoma huku kichwa kikiwa huru bila mafaili ya kale ungechangia kilicho bora zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…