Franklin D Roosevelt (FDR) na uongozi wa miaka 12 kujirudia Tanzania

Franklin D Roosevelt (FDR) na uongozi wa miaka 12 kujirudia Tanzania

Mimi sijui mengi ila nimegundua kuna watu hawana akili za kung'amua mambo. Hivi ule ujasiri wa kuja public na kushangilia kama panya walioachiwa kutoka shimoni waliutoa wapi? Hata tu kwa unafiki hawakudhani ile ni provocation kwenye public?

Kisha baada ya kuharibu wamenywea ghafla, you can easily read them.

Ningeshangaa sana kama haya yangeachwa yalivyo...Hata hivyo precedence iliyotengenezwa Mungu mwenyewe atusaidie, its terrific!
 
Mkuu, kama nimeelewa vizuri hicho kipengere ni kwamba endapo Magufuli angefariki either mwaka hu au mwakani then mama ilikua ruksa kugombea mara 2, yaani 2025 na 2030 lakini kwakua Magufuli alifariki 2021, miaka 4 kabla ya uchaguzi mkuu means mama anakua kashikiria kwa muda wa miaka zaidi ya 3 and hence hiyo clause 4 hapo ulio inukuu inamuondolea sifa ya yeye kugombea mwaka 2030, anatakiwa kumuachia mwingine!
Kwa maana hiyo hapo juu hii awamu ya rais Samia Suluhu Hassan ni awamu ya tano au ya sita?
 
Last digit za miaka ya FDR ni 3 na 5, kwetu zita'comply na mwaka 2023 na 2035 ile kuleta hiyo miaka 12.

Raisi Mwinyi anakujaje kuwa tena Raisi Mwakani ?


Asking who ? Is simple question sababu ni kama multiple choices unaweza kubashiri na kupatia. The question is How operation 'next stage' is going to be executed ? ama How is this operation 'next stage' is executed ?, Sababu pengine execution was already granted. Hayo ndio maswali
Nadhani Magamba matatu aliandika ajaye ni muislamu!! Ngoja Tuone!
 
Wakuu

Mwaka 1933 mpaka mwaka 1945 alipofariki, FDR alikuwa Rais wa Marekani. Alichaguliwa katika chaguzi nne kinyume na tradition za nchi kwasababu mbalimbali ikiwemo WWII.

Alisaidia sana kuijenga nchi baada ya great depression na alifanya reforms nyingi kama kuiunda SEC, sheria ya mahusiano kazini, pensheni, usawa katika ajira, ujenzi wa pentagon, federal deposit insurance corporation etc

Alikuwa Rais wa kwanza kutumia redio na kuwa televised in US na muhimu zaidi huyu ndiye Rais aliyeileta Marekani kuwa global super power. Kuna similarities zipo mbele hapa zinaonesha aina hii ya progress huku kwetu. Mtu mnyenyekevu, intelligent, strategic, calm, visionary, truthful and patriotic atafanikisha next stage.

Nikiangalia naona tena miaka 12 ya mtu katika eneo la huku. Last digit ya miaka iliyotajwa inadhihirika kujirudia.

Tuendelee kusubiria maana namba hizo ndio hizohizo zinajionesha.
Mnatarajia hawa mawaziri kama waziri wa nishati wa Sasa hivi kutupeleka huko?yaani mawaziri wazuri waliondolewa wamekuja mawaziri jamii ile ya kuendeleza maslaji Yao inabidi mfanye mabadiliko.Alafu iweje muone Rais Magufuli kuwa mharibu nchi kuliko kina kikwete? Ni kweli Magufuli anamapungufu Yake ila naona he was more visionary kuliko baadhi ya watangulizi wenzake .Mna deni Kwa Watanzania ya kutuletea visionary leader mwingine huyu suluhu hajafikia hata nusu ya Magufuli.
 
Wakuu

Mwaka 1933 mpaka mwaka 1945 alipofariki, FDR alikuwa Rais wa Marekani. Alichaguliwa katika chaguzi nne kinyume na tradition za nchi kwasababu mbalimbali ikiwemo WWII.

Alisaidia sana kuijenga nchi baada ya great depression na alifanya reforms nyingi kama kuiunda SEC, sheria ya mahusiano kazini, pensheni, usawa katika ajira, ujenzi wa pentagon, federal deposit insurance corporation etc

Alikuwa Rais wa kwanza kutumia redio na kuwa televised in US na muhimu zaidi huyu ndiye Rais aliyeileta Marekani kuwa global super power. Kuna similarities zipo mbele hapa zinaonesha aina hii ya progress huku kwetu. Mtu mnyenyekevu, intelligent, strategic, calm, visionary, truthful and patriotic atafanikisha next stage.

Nikiangalia naona tena miaka 12 ya mtu katika eneo la huku. Last digit ya miaka iliyotajwa inadhihirika kujirudia.

Tuendelee kusubiria maana namba hizo ndio hizohizo zinajionesha.
Ina Maana mkuu Tumiaakili huyo roosevelt wa huku kwetu nae atafia madarakani kama wa huko??au sijaelewa kuwa nae hatostaafu na kuendelea na Maisha??sawa tunakubali kuwa "ilitokea Marekani na itatokea na huku kwetu"!!
 
Al
Mnatarajia hawa mawaziri kama waziri wa nishati wa Sasa hivi kutupeleka huko?yaani mawaziri wazuri waliondolewa wamekuja mawaziri jamii ile ya kuendeleza maslaji Yao inabidi mfanye mabadiliko.Alafu iweje muone Rais Magufuli kuwa mharibu nchi kuliko kina kikwete? Ni kweli Magufuli anamapungufu Yake ila naona he was more visionary kuliko baadhi ya watangulizi wenzake .Mna deni Kwa Watanzania ya kutuletea visionary leader mwingine huyu suluhu hajafikia hata nusu ya Magufuli.
Aliekuambia ni Makamba nani ndugu??we SUBIRI tu !!unafikiri dola Huwa wanakurupuka?
 
Lkn FDR angalau alikuwa intelligent man, hakubomoa USA bali alijenga USA, FDR alijenga Hoover Dam Bwawa la kuzalisha umeme wa Maji, kwetu Bwawa la Nyerere linapotezewa siajabu hata mwishowe kubomolewa, alijenga US Highway System ambayo alikopi kutoka NAZI Germany na mengine mengi, FDR hakukata umeme USA bali aliboresha, FDR hakuwaambia Viongozi wa USA waibe na kubomoa USA kwa kula kwa urefu wa kamba bali alikemea corruption na kujenga USA.

Hivyo wakati mwingine kuwa muangalifu unapojaribu kulinganisha mambo, kuna vitu havilingani na siyo sawa kuvilinganisha.
Bwawa la Nyerere linamaliziwa na sasa wameshaachia maji yaingie kwenye turbines, usikariri habari mkuu KIjakazi.
 
Wakuu

Mwaka 1933 mpaka mwaka 1945 alipofariki, FDR alikuwa Rais wa Marekani. Alichaguliwa katika chaguzi nne kinyume na tradition za nchi kwasababu mbalimbali ikiwemo WWII.

Alisaidia sana kuijenga nchi baada ya great depression na alifanya reforms nyingi kama kuiunda SEC, sheria ya mahusiano kazini, pensheni, usawa katika ajira, ujenzi wa pentagon, federal deposit insurance corporation etc

Alikuwa Rais wa kwanza kutumia redio na kuwa televised in US na muhimu zaidi huyu ndiye Rais aliyeileta Marekani kuwa global super power. Kuna similarities zipo mbele hapa zinaonesha aina hii ya progress huku kwetu. Mtu mnyenyekevu, intelligent, strategic, calm, visionary, truthful and patriotic atafanikisha next stage.

Nikiangalia naona tena miaka 12 ya mtu katika eneo la huku. Last digit ya miaka iliyotajwa inadhihirika kujirudia.

Tuendelee kusubiria maana namba hizo ndio hizohizo zinajionesha.
Sisi huku tunaomba Samia aongozi hata miaka 100. Tumpate wapi rais Kama mama!!
 
Lkn FDR angalau alikuwa intelligent man, hakubomoa USA bali alijenga USA, FDR alijenga Hoover Dam Bwawa la kuzalisha umeme wa Maji, kwetu Bwawa la Nyerere linapotezewa siajabu hata mwishowe kubomolewa, alijenga US Highway System ambayo alikopi kutoka NAZI Germany na mengine mengi, FDR hakukata umeme USA bali aliboresha, FDR hakuwaambia Viongozi wa USA waibe na kubomoa USA kwa kula kwa urefu wa kamba bali alikemea corruption na kujenga USA.

Hivyo wakati mwingine kuwa muangalifu unapojaribu kulinganisha mambo, kuna vitu havilingani na siyo sawa kuvilinganisha.
Bwawa la nyerere Bora lisiishe Mana sukuma gang watakwambia jpm hoyee. Mama mamiradi yote ya jpm achana nayo Mana ukimaliza tu sifa zote ni kwa jpm siyo wewe. Angalia pale salenda sukuma wanampongeza jpm badala yako
 
Wakuu

Mwaka 1933 mpaka mwaka 1945 alipofariki, FDR alikuwa Rais wa Marekani. Alichaguliwa katika chaguzi nne kinyume na tradition za nchi kwasababu mbalimbali ikiwemo WWII.

Alisaidia sana kuijenga nchi baada ya great depression na alifanya reforms nyingi kama kuiunda SEC, sheria ya mahusiano kazini, pensheni, usawa katika ajira, ujenzi wa pentagon, federal deposit insurance corporation etc

Alikuwa Rais wa kwanza kutumia redio na kuwa televised in US na muhimu zaidi huyu ndiye Rais aliyeileta Marekani kuwa global super power. Kuna similarities zipo mbele hapa zinaonesha aina hii ya progress huku kwetu. Mtu mnyenyekevu, intelligent, strategic, calm, visionary, truthful and patriotic atafanikisha next stage.

Nikiangalia naona tena miaka 12 ya mtu katika eneo la huku. Last digit ya miaka iliyotajwa inadhihirika kujirudia.

Tuendelee kusubiria maana namba hizo ndio hizohizo zinajionesha.

sio kwa katiba hii wakati ule kulikuwa hakuna kikomo kwa Raisi. Katiba ya Tanzania iko wazi kwenye hili la mihula sasa sijui drama za nini?? !!
 
Back
Top Bottom