Mimi sijui mengi ila nimegundua kuna watu hawana akili za kung'amua mambo. Hivi ule ujasiri wa kuja public na kushangilia kama panya walioachiwa kutoka shimoni waliutoa wapi? Hata tu kwa unafiki hawakudhani ile ni provocation kwenye public?
Kisha baada ya kuharibu wamenywea ghafla, you can easily read them.
Ningeshangaa sana kama haya yangeachwa yalivyo...Hata hivyo precedence iliyotengenezwa Mungu mwenyewe atusaidie, its terrific!
Kisha baada ya kuharibu wamenywea ghafla, you can easily read them.
Ningeshangaa sana kama haya yangeachwa yalivyo...Hata hivyo precedence iliyotengenezwa Mungu mwenyewe atusaidie, its terrific!