Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,487
- 13,611
Ni muendelezo wa ramli za JF.Mbuyu uling'ooka utakuwa mchika??????
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni muendelezo wa ramli za JF.Mbuyu uling'ooka utakuwa mchika??????
Kaachiwa miradi mikubwa na hayati JPM na ni lazima imalizike yote. Wanaosema asikope hawana hata senti tano ya kuipatia Serikali ili isitafute pesa huko nje. Ni makelele ya wajuaji wa kitanzania.Ndo maana mama kaambiwa asikopekope ovyo
Weka takwimu hapa au utakuwa unaropokaJPM ndiye rais aliyekopa kuliko wote tangu 1961 na Ndugai akiwa spika alikaa kimya, aliufyata kama haoni kilichokuwa kikiendelea.
Leo analeta dharau kwa sababu anamuona rais ni mwanamke.
Makusanyo ya Kodi ikiimarishwa tutapunguza kukopaKaachiwa miradi mikubwa na hayati JPM na ni lazima imalizike yote. Wanaosema asikope hawana hata senti tano ya kuipatia Serikali ili isitafute pesa huko nje. Ni makelele ya wajuaji wa kitanzania.
Ila una matatizo ya akili, hizi ramli hata JPM akiwa hai zilikuwepo. Tena ni huyohuyoHizi naziona ni kama vile ramli za wale jamaa wa JPM, tukumbuke Mabeyo alimhakikishia SSH ulinzi kipindi chote cha urais wake.
Acha ukabila wewe!Bwawa la nyerere Bora lisiishe Mana sukuma gang watakwambia jpm hoyee. Mama mamiradi yote ya jpm achana nayo Mana ukimaliza tu sifa zote ni kwa jpm siyo wewe. Angalia pale salenda sukuma wanampongeza jpm badala yako
Tunahitaji visionary leader sio leader anayeendeshwa na watu wastaafu.Mkimuondoa mama SAMIA before 2025 mtakuwa mmemuonea Sana,kwann msisubiri mpaka 2025?
Lkn FDR angalau alikuwa intelligent man, hakubomoa USA bali alijenga USA, FDR alijenga Hoover Dam Bwawa la kuzalisha umeme wa Maji, kwetu Bwawa la Nyerere linapotezewa siajabu hata mwishowe kubomolewa, alijenga US Highway System ambayo alikopi kutoka NAZI Germany na mengine mengi, FDR hakukata umeme USA bali aliboresha, FDR hakuwaambia Viongozi wa USA waibe na kubomoa USA kwa kula kwa urefu wa kamba bali alikemea corruption na kujenga USA.
Hivyo wakati mwingine kuwa muangalifu unapojaribu kulinganisha mambo, kuna vitu havilingani na siyo sawa kuvilinganisha.
Tumia akili, unamanisha huyu mwamba ambaye ni makamu anaweza tuvusha kweli, Mana simwamini nahisi ana philosophy za jiwe ivi
Hakuna waziri mzuri anayetokana na CCM.Samia kashafeli kwenye baadhi ya Mambo mfamo kumfungia Mbowe na bado hajaaza utelezaji wa katiba mpya.Na pia tunahitaji visionary leader angalia mama kawaweka mawaziri wa Aina gani kaacha mawaziri wazuri.
Tangu lini Tumia akili akawa chawa?Huyu ni mfikisha ujumbe nyeti KWA watz wenye akili timamu wanamwelewa!!Nenda Kasome ule uzi wake wa "operation imesitishwa the state wamesema apewe muda""halafu usome paragraph ya Mwisho KABISA alipo andika KUWA"tulimshauri hakusikia sasa hayupo"halafu UNIAMBIE unaelewa nini!!??Nakubaliana na wewe Kijakazi , watu wengine nadhani wanasumbuliwa na UCHAWA ,hivyo kulazimisha ulinganishi hata pale usipokuwepo ili tu kumpamba wampendae! Yote hayo wanafanya kwa msukumo wa njaa na malengo yao ovu; onyo lako kuwa wawe waangalifu katika uchawa wao linastahili!
UnderlineNaichukua sana picha ya Jiwe ,
Unamanisha tutapata kiongozi mpya mwaka 2023, hafu atagombea awamu zijazo , swali ni who?