Franklin D Roosevelt (FDR) na uongozi wa miaka 12 kujirudia Tanzania

Franklin D Roosevelt (FDR) na uongozi wa miaka 12 kujirudia Tanzania

Underline
Wakimweka wa bara itaonekana wamemuondoa coz ni mzenji, wakimweka mkristo watasema wamemuondoa coz ni muislamu!Sasa atakaeingia anapaswa awe mwanamme muislamu mzanzibari !!!kuna jina teuliwa naliona limeandaliwa tena aliwahi tumika kama Waziri kiongozi wa smz na Waziri wa mambo ya ndani na Waziri wa ulinzi aliepokewa na Mwinyi junior!!!kiswahili ni JUA tafsiri ya jina lake kiarabu!! mtumishi humble,calm, visionary,patriotic na intelligent!!!nimemuona tayari anakuja na ni mkali kama jpm!!!huyo Ndio FDR WETU!!!?
 
Unataka kusema Nahodha …sema huyu bila figisu angeshinda ule uchaguzi kamati kuu…hata hili la ubunge sio bahati mbaya acha tuone
 
Wakuu

Mwaka 1933 mpaka mwaka 1945 alipofariki, FDR alikuwa Rais wa Marekani. Alichaguliwa katika chaguzi nne kinyume na tradition za nchi kwasababu mbalimbali ikiwemo WWII.

Alisaidia sana kuijenga nchi baada ya great depression na alifanya reforms nyingi kama kuiunda SEC, sheria ya mahusiano kazini, pensheni, usawa katika ajira, ujenzi wa pentagon, federal deposit insurance corporation etc

Alikuwa Rais wa kwanza kutumia redio na kuwa televised in US na muhimu zaidi huyu ndiye Rais aliyeileta Marekani kuwa global super power. Kuna similarities zipo mbele hapa zinaonesha aina hii ya progress huku kwetu. Mtu mnyenyekevu, intelligent, strategic, calm, visionary, truthful and patriotic atafanikisha next stage.

Nikiangalia naona tena miaka 12 ya mtu katika eneo la huku. Last digit ya miaka iliyotajwa inadhihirika kujirudia.

Tuendelee kusubiria maana namba hizo ndio hizohizo zinajionesha.
Tunataka Rais Bora Zaidi huyu wa sasa hivi tumepigwa.kama kweli mnaijali hii nchi mtupatie Rais mwingine.
 
Hivi nyie Wazee wa huko humuoni mambo yalivyoparaganyika? Kumbukeni basi hata ndugu zenu mliowaacha Kijijini maana bei ya bidhaa haishikiki. Ambao hawajakulia kwenye mboga Saba wanajua naongea nn.
 
Hivi nyie Wazee wa huko humuoni mambo yalivyoparaganyika? Kumbukeni basi hata ndugu zenu mliowaacha Kijijini maana bei ya bidhaa haishikiki. Ambao hawajakulia kwenye mboga Saba wanajua naongea nn.
Tumia akili naona ule wakati wa kumweka kando unachelewa mno, katangaza kupanda bei ya mafuta dunia akinasibisha na vita ya Ukraine v/s Urusi lkn hasemi yeye na serikali yake wanachukua hatua zipi kupunguza makali ya mfumo wa bei.
 

Attachments

  • 1648526105471.mp4
    908.6 KB
Ninatamani jamaa arudi kutuelezea je kuwa mzalendo nchi hii ni kosa?

Maana kama kweli walimwondoa wakaacha waliowaacha kutufanyia wanayotufanyia mtumia akili nyingi kweli akili zake zimezidi na kuzidi mpaka amechanganyikiwa na hao wenzake walioamua kufanya walichokifanya...I know and I know giza likitandaa zaidi asubuhi inakuwa imekaribia...My Aba father, unanini nami? Muda wangu bado!
 
Wakuu

Mwaka 1933 mpaka mwaka 1945 alipofariki, FDR alikuwa Rais wa Marekani. Alichaguliwa katika chaguzi nne kinyume na tradition za nchi kwasababu mbalimbali ikiwemo WWII.

Alisaidia sana kuijenga nchi baada ya great depression na alifanya reforms nyingi kama kuiunda SEC, sheria ya mahusiano kazini, pensheni, usawa katika ajira, ujenzi wa pentagon, federal deposit insurance corporation etc

Alikuwa Rais wa kwanza kutumia redio na kuwa televised in US na muhimu zaidi huyu ndiye Rais aliyeileta Marekani kuwa global super power. Kuna similarities zipo mbele hapa zinaonesha aina hii ya progress huku kwetu. Mtu mnyenyekevu, intelligent, strategic, calm, visionary, truthful and patriotic atafanikisha next stage.

Nikiangalia naona tena miaka 12 ya mtu katika eneo la huku. Last digit ya miaka iliyotajwa inadhihirika kujirudia.

Tuendelee kusubiria maana namba hizo ndio hizohizo zinajionesha.
Shukurani mkuu kwa taarifa yako fikirishi,
Vipi makamu wa Rais atakuwa Vuai Nahodha au? Je waziri mkuu atakuwa huyu huyu Mzalendo KMk au tutarajie mwingine
 
Back
Top Bottom