Franklin D Roosevelt (FDR) na uongozi wa miaka 12 kujirudia Tanzania

Franklin D Roosevelt (FDR) na uongozi wa miaka 12 kujirudia Tanzania

Bwawa la nyerere Bora lisiishe Mana sukuma gang watakwambia jpm hoyee. Mama mamiradi yote ya jpm achana nayo Mana ukimaliza tu sifa zote ni kwa jpm siyo wewe. Angalia pale salenda sukuma wanampongeza jpm badala yako
Hizi miradi ni kwaajili ya nchi sio Magufuli.kwa hiyo condition mojawapo ni lazima liishe na ni lazima iishe.na ndiyo Magufuli ndiyo aliyethubutu kuanza kuzitekeleza Kwa hiyo hata mfanyaje lazima asifiwe.
 
Sisi huku tunaomba Samia aongozi hata miaka 100. Tumpate wapi rais Kama mama!!
Samia kashafeli kwenye baadhi ya Mambo mfamo kumfungia Mbowe na bado hajaaza utelezaji wa katiba mpya.Na pia tunahitaji visionary leader angalia mama kawaweka mawaziri wa Aina gani kaacha mawaziri wazuri.
 
Hizi naziona ni kama vile ramli za wale jamaa wa JPM, tukumbuke Mabeyo alimhakikishia SSH ulinzi kipindi chote cha urais wake.
 
Najua chawa Wake wapo humu wakimtafuta wa kumvisha kengele!! LAKINI ukweli ni kwamba Mama amekiuka maagizo aliyopewa mwanzoni kabisa Operation ilipositishwa!! Nenda Kasome upya maagizo 18 aliyopewa mwanzoni kabisa!! amekiuka agizo la 11 kuhusu mikopo mikubwa!!Ndugai alitumwa aseme lakini IQ ndogo ya Mama hakutambua Ndugai kapata wapi ujasiri ule!!kaingia mkenge!!kama alivoingia mkenge kwenye gazeti la uhuru kuhusu kugombea kiti hapo 2025!!
Ndugai msipandishe sana chati, ni wale wale wa kundi la ukanda wa RIP Magufuli, aliropoka maneno ambayo ni ya kuongea Bar ukiwa na marafiki zako.
 
Ndugai msipandishe sana chati, ni wale wale wa kundi la ukanda wa RIP Magufuli, aliropoka maneno ambayo ni ya kuongea Bar ukiwa na marafiki zako.
Sasa MTU kusema tusikopekope ovyo kakosea?kama jamaa alivyosema hapo mama ni Wa Muda tu.alafu huwa jamaa akisema amesema.
 
Sasa MTU kusema tusikopekope ovyo kakosea?kama jamaa alivyosema hapo mama ni Wa Muda tu.alafu huwa jamaa akisema amesema.
Jamaa ni Mungu au?. Kukopa JPM alikuwa akikopa kwa siri, hadharani anawakandia wazungu lakini akishuka anamfuata Dotto na kumwagiza akaonane na hao hao wazungu aliokuwa akiwatukana mbele ya hadhara.
 
Jamaa ni Mungu au?. Kukopa JPM alikuwa akikopa kwa siri, hadharani anawakandia wazungu lakini akishuka anamfuata Dotto na kumwagiza akaonane na hao hao wazungu aliokuwa akiwatukana mbele ya hadhara.
Ndo maana mama kaambiwa asikopekope ovyo
 
Ndugai msipandishe sana chati, ni wale wale wa kundi la ukanda wa RIP Magufuli, aliropoka maneno ambayo ni ya kuongea Bar ukiwa na marafiki zako.
Induga hakusema kama mlevi.



After Induga's speech there is a [emoji22][emoji22] story
 
"Roosevelt declining physical health was kept a secret in public''Before he died saying !am feeling a terrific headache!and leaning his head forward on his chair! And died!!!nimesikitishwa Sana hapo!!secret for sure secret!!
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Hizi naziona ni kama vile ramli za wale jamaa wa JPM, tukumbuke Mabeyo alimhakikishia SSH ulinzi kipindi chote cha urais wake.
Ulinzi wa samia haupo kwa mabeyo pekee ni mfumo nzima wa nchi!!mfumo ukikosea una kutema tu hata kama ni kipenzi wananchi!!si mmeona edo japo alikubalika Sana lakini alikosa vyote?
 
Lkn FDR angalau alikuwa intelligent man, hakubomoa USA bali alijenga USA, FDR alijenga Hoover Dam Bwawa la kuzalisha umeme wa Maji, kwetu Bwawa la Nyerere linapotezewa siajabu hata mwishowe kubomolewa, alijenga US Highway System ambayo alikopi kutoka NAZI Germany na mengine mengi, FDR hakukata umeme USA bali aliboresha, FDR hakuwaambia Viongozi wa USA waibe na kubomoa USA kwa kula kwa urefu wa kamba bali alikemea corruption na kujenga USA.

Hivyo wakati mwingine kuwa muangalifu unapojaribu kulinganisha mambo, kuna vitu havilingani na siyo sawa kuvilinganisha.
FDR hakufunga viongozi wa chama cha Republican na aliruhusu hata mipango ,taasisi na sheria zake kupingwa mahakamani bila shida.
 
Ulinzi wa samia haupo kwa mabeyo pekee ni mfumo nzima wa nchi!!mfumo ukikosea una kutema tu hata kama ni kipenzi wananchi!!si mmeona edo japo alikubalika Sana lakini alikosa vyote?
Edo aliutaka urais wa 2015 kabla ya ule wa 2005, ilijulikana na alishajipanga miaka mingi.

Kama JPM asingefariki Tanzania isingekuwa na rais mwanamke, SSH kaingia kikatiba bila ya kutegemea wala kutegemewa.
 
Back
Top Bottom