Franklin D Roosevelt (FDR) na uongozi wa miaka 12 kujirudia Tanzania

Franklin D Roosevelt (FDR) na uongozi wa miaka 12 kujirudia Tanzania

Aseee , kweli kwenye ulimwengu wa roho kuna mambo yanaendelea ambayo n ngumu machoni kwa mwanadamu kuona
Yaani huko ndipo chakula kinapoandaliwa na kuletwa mezani kikiwa tayari.

Kwahiyo rohoni ni jikoni, mezani ni mwilini matokeo ya chakula kilichoandaliwa jikoni.

Ulimwengu wa roho upo wa aina mbili;wa nuru na giza. Hata sisi wanadamu tuko pande hizo hizo mbili either ni nuruni au gizani.

Asikudanganye mtu eti haamini hivi vitu. Kuna watu ambao wapo gizani pasipokujua kwanba wapo huko, wamefungwa Fahamu zao ili wasijitambue na kutoka.
 
Najiuliza uzi kama huu kinana,kikwete,Mama,na vigogo wengine Huwa wanasoma kweli!!?
Wanasoma au wanaambiwa na kuyafanyia kazi si unajua tena kuna wakati wanadamu tunaishi kwa rehema na kudra za Mwenyezi Mungu? Mungu huwasikiliza wanadamu katika shida zao zote.
 
HALAFU mkuu personality kama hizi zinawaza unachowaza!!?Yaani kama Hawa :-kikwete,Rostam,kinana,Mama mwenyewe,Mabeyo,na vigogo wengi Sana waliopo na wasiopo KWENYE SERIKALI Hii!!?Yaani WANAWAZA Hayo au hawajui na wanaendelea na yao tu!!!
Ndugu RUSHWA hupofusha UFAHAMU, wanaona na wanashauriwa bt Wanashupaza SHINGO, Bt mama ni Rahisi kushaurika kama ataondolewa washauri wabaya anaowaheshimu.
 
Mkuu kama mwendazake alimsikiliza Mungu kama Mungu halafu Mwisho wa siku akakosana na wenye NCHI yao ikawa historia je huyo mjoli AJAYE akimsikiliza Mungu kama mwendazake si atakosana na Wenye NCHI YAO wanaodai eti badala ya kujenga Taifa yeye alikazana kujenga NCHI!!unadhani atatoboa kweli KWENYE makuccha ya wenye NCHI yao!!??ninavoelewa wenye NCHI wanaongozwa na secret societies hasa shetani Sasa sijui KABISA!!!Naona mapambano Kati ya wenye Dunia wanaongozwa NCHI zote na kwenye Mbingu muumba wa vyote!!!KAZI KWELI kweli!!
TANZANIA hii unakumbuka wale majini walikuja kuinunua Kigamboni baadae Magu akabatilisha. Nchi hii siku zinakuja Mpinga Kristo atakapoanzisha UFALME wake hapa duniani Nchi ya Israel Kwa wayahudi, Serikali zote zitakuwa chini yake, Hapa TANZANIA ndo wote wasiomtii watakambilia hapa. Mwana wa Mungu atakusanyika na wanaomtii, ni hapa kwenye ardhi unayoikanyaga. Hizi ni nyakati za kutisha.
 
TANZANIA hii unakumbuka wale majini walikuja kuinunua Kigamboni baadae Magu akabatilisha. Nchi hii siku zinakuja Mpinga Kristo atakapoanzisha UFALME wake hapa duniani Nchi ya Israel Kwa wayahudi, Serikali zote zitakuwa chini yake, Hapa TANZANIA ndo wote wasiomtii watakambilia hapa. Mwana wa Mungu atakusanyika na wanaomtii, ni hapa kwenye ardhi unayoikanyaga. Hizi ni nyakati za kutisha.
Mkuu kwani Tanzania imetabiriwa na manabii kwamba hayo YOTE yatatokea!!?yaani Taifa la kipekee lililotengwa na Mungu kama teule la NYAKATI HIZO!!!?kuna kumbu kumbu za maandiko kuhusu hilo!!!???ina Maana hii nchi itakuwa kanaani ya WAKATI HUO!!!?we jamaa unanifundisha vitu VYA ajabu ambayo hata wenye ukristo wao watakubishia wazi kabisa!!ukienda na hoja kama hiyo kwa Mwakasege,mwingira,Lusekelo,Moses kulola na wengineo mtakubaliana nao!!!?UZI HUU WA TUMIA AKILI UTAKOSA MAANA SASA KAMA MAMBO NDIO YAKO HIVYO KAMA USEMAVYO!!!
 
TANZANIA hii unakumbuka wale majini walikuja kuinunua Kigamboni baadae Magu akabatilisha. Nchi hii siku zinakuja Mpinga Kristo atakapoanzisha UFALME wake hapa duniani Nchi ya Israel Kwa wayahudi, Serikali zote zitakuwa chini yake, Hapa TANZANIA ndo wote wasiomtii watakambilia hapa. Mwana wa Mungu atakusanyika na wanaomtii, ni hapa kwenye ardhi unayoikanyaga. Hizi ni nyakati za kutisha.
Hii Nchi Nyerere hakuzaliwa hapa Kwa bahati mbaya, Tulipata UHURU bila blood shedin, Afrika nzima tumehusika kuileta uhuru Kwa Upendo wetu, Tumeijenga Amani katika msingi imara. HATA Katiba mpya hatutamwaga Damu kama Nchi ktk kuiandika,ingawa wapo waliotangulia wachache ktk kuidai. Hapa ni kimbilio la mataifa yote. Halafu anatokea mtu mmoja anasaini mikataba 17 mfululizo bila hata kusoma, Ivi tuna tofauti Gani na wale waliobadilishana Almasi Kwa shanga. Nchi inarudi ilipoanzia!!!!
 
Mkuu kwani Tanzania imetabiriwa na manabii kwamba hayo YOTE yatatokea!!?yaani Taifa la kipekee lililotengwa na Mungu kama teule la NYAKATI HIZO!!!?kuna kumbu kumbu za maandiko kuhusu hilo!!!???ina Maana hii nchi itakuwa kanaani ya WAKATI HUO!!!?we jamaa unanifundisha vitu VYA ajabu ambayo hata wenye ukristo wao watakubishia wazi kabisa!!ukienda na hoja kama hiyo kwa Mwakasege,mwingira,Lusekelo,Moses kulola na wengineo mtakubaliana nao!!!?UZI HUU WA TUMIA AKILI UTAKOSA MAANA SASA KAMA MAMBO NDIO YAKO HIVYO KAMA USEMAVYo

Mkuu kwani Tanzania imetabiriwa na manabii kwamba hayo YOTE yatatokea!!?yaani Taifa la kipekee lililotengwa na Mungu kama teule la NYAKATI HIZO!!!?kuna kumbu kumbu za maandiko kuhusu hilo!!!???ina Maana hii nchi itakuwa kanaani ya WAKATI HUO!!!?we jamaa unanifundisha vitu VYA ajabu ambayo hata wenye ukristo wao watakubishia wazi kabisa!!ukienda na hoja kama hiyo kwa Mwakasege,mwingira,Lusekelo,Moses kulola na wengineo mtakubaliana nao!!!?UZI HUU WA TUMIA AKILI UTAKOSA MAANA SASA KAMA MAMBO NDIO YAKO HIVYO KAMA USEMAVYO!!!
Mbona yanahubiriwa ndugu na maandiko ktk vitabu vya unabii vinaitaja Nchi ya mbali ktk kushi, fuatilia habari ya New World Order, fungua seal zake kama hutaikuta tz. Nakufikirisha nenda dig deeper.
 
Hii Nchi Nyerere hakuzaliwa hapa Kwa bahati mbaya, Tulipata UHURU bila blood shedin, Afrika nzima tumehusika kuileta uhuru Kwa Upendo wetu, Tumeijenga Amani katika msingi imara. HATA Katiba mpya hatutamwaga Damu kama Nchi ktk kuiandika,ingawa wapo waliotangulia wachache ktk kuidai. Hapa ni kimbilio la mataifa yote. Halafu anatokea mtu mmoja anasaini mikataba 17 mfululizo bila hata kusoma, Ivi tuna tofauti Gani na wale waliobadilishana Almasi Kwa shanga. Nchi inarudi ilipoanzia!!!!
Nikiangalia pale BUNGENI hakuna mwenye sifa za kupambana na corona na propaganda za wazungu zaidi ya GWAJIMA hakuna mwingine!!! NASUBIRIA NIONE NANI ZAIDI YAKE!!
 
Mbona yanahubiriwa ndugu na maandiko ktk vitabu vya unabii vinaitaja Nchi ya mbali ktk kushi, fuatilia habari ya New World Order, fungua seal zake kama hutaikuta tz. Nakufikirisha nenda dig deep

Mkuu kwani Tanzania imetabiriwa na manabii kwamba hayo YOTE yatatokea!!?yaani Taifa la kipekee lililotengwa na Mungu kama teule la NYAKATI HIZO!!!?kuna kumbu kumbu za maandiko kuhusu hilo!!!???ina Maana hii nchi itakuwa kanaani ya WAKATI HUO!!!?we jamaa unanifundisha vitu VYA ajabu ambayo hata wenye ukristo wao watakubishia wazi kabisa!!ukienda na hoja kama hiyo kwa Mwakasege,mwingira,Lusekelo,Moses kulola na wengineo mtakubaliana nao!!!?UZI HUU WA TUMIA AKILI UTAKOSA MAANA SASA KAMA MAMBO NDIO YAKO HIVYO KAMA USEMAVYO!!!
Watakusanyikia hapa, imeandikwa YESU KRISTO atakuja kutawala hapa duniani miaka Elfu. TANZANIA ni point watakapokusanyika wa upande wa Yesu. Wale wa Masih jaddal na shetani watakusanyikia pale pale Israel Kwa wayahudi. Itapiganwa vita kuu ya tatu au ALMAGEDON. Moto utashuka utawala ndipo shetani atafungwa miaka Elfu YESU atawale. Hapatakuwa na DHAMBI, Wala UOVU aina yoyote maana shetani ndio baba ,engineer na chanzo Cha UOVU na wote unaouona chini ya jua.
 
Watakusanyikia hapa, imeandikwa YESU KRISTO atakuja kutawala hapa duniani miaka Elfu. TANZANIA ni point watakapokusanyika wa upande wa Yesu. Wale wa Masih jaddal na shetani watakusanyikia pale pale Israel Kwa wayahudi. Itapiganwa vita kuu ya tatu au ALMAGEDON. Moto utashuka utawala ndipo shetani atafungwa miaka Elfu YESU atawale. Hapatakuwa na DHAMBI, Wala UOVU aina yoyote maana shetani ndio baba ,engineer na chanzo Cha UOVU na wote unaouona chini ya jua.
Baada ya kumshinda mpinga Kristo atarudi JERUSALEM na atatawala Dunia nzima miaka Elfu. Ikiisha miaka Elfu shetani atafunguliwa ndipo itakuja mauti ya pili akitupwa JEHANUM milele na milele na wote wasiomwamini Yesu. Wokovu ni sasa so kesho.
 
Ukipata muda kama itakupendeza naomba utujuze zaidi kuhusu mwenge na pia zindiko lile la mkoa wa lindi likifo fanyika kama kinga kwa taifa
Hilo dude nalichukia balaa, sioni faida yake.
Mwenge wa akina Yahaya Hussein
 
Mbona yanahubiriwa ndugu na maandiko ktk vitabu vya unabii vinaitaja Nchi ya mbali ktk kushi, fuatilia habari ya New World Order, fungua seal zake kama hutaikuta tz. Nakufikirisha nenda dig deeper.
Mkuu napenda sana unavyotiririka ebu tumegee kidogo hizo seal za NWO
 
Watakusanyikia hapa, imeandikwa YESU KRISTO atakuja kutawala hapa duniani miaka Elfu. TANZANIA ni point watakapokusanyika wa upande wa Yesu. Wale wa Masih jaddal na shetani watakusanyikia pale pale Israel Kwa wayahudi. Itapiganwa vita kuu ya tatu au ALMAGEDON. Moto utashuka utawala ndipo shetani atafungwa miaka Elfu YESU atawale. Hapatakuwa na DHAMBI, Wala UOVU aina yoyote maana shetani ndio baba ,engineer na chanzo Cha UOVU na wote unaouona chini ya jua.
NAONA wamepandisha majina mawili jukwaani kuwa MMOJA wapo anaandaliwa kuchukua kijiti baada ya mama mtifuano HUO unaweza kuzaa chaguo la tatu ambalo NDIO la Mungu Ili nchi iongozwe kitumishi na Sio kishetani kama ilivozoeleka!! Ngoja Tuone!
 
Unaongea nini wewe!?Kwako wewe elimu ni vile vyeti eti?Mngekuwa na elimu kweli,nchi ingekuwa inajitegemea katika nyanja nyingi sana kitekinolojia,lakini ni hakuna kitu.Nikuambie kitu ambacho ujui sasa ni kwamba,yes mimi nimeajiria as a driver lakini nimefunga wiring katika majumba,ofisi na viwanda mbalimbali.Ni mmiliki wa kampuni ya ufundi umeme ndani ya Tz hii.Sasa usipende kuonesha ujinga wako kwa watu wenye akili zao.
Unamiliki kampuni alafu unaajiriwa kama dereva? Ila mm nimedharau elimu yako kutokana na uwezo wako unaoonyesha.
Wapo wenye elimu ndogo kama yako Ila wapo vizuri upstairs
 
Back
Top Bottom