Franklin D Roosevelt (FDR) na uongozi wa miaka 12 kujirudia Tanzania

Franklin D Roosevelt (FDR) na uongozi wa miaka 12 kujirudia Tanzania

Kumtambua mtu Kuwa ni nusu pepo nusu mtu nayo ni kazi Sana!!!
SIASA;
Ni waongo, wanafurahia mateso ya wananchi, ni wanafiki, ni viongozi wa wauza sembe mostly, wanahamasisha ushoga nk.

MITINDO na FASHION.
Ni wabunifu wa MITINDO ya uvaaji duniani, wanabuni mavazi ya KUZIMU na MITINDO ya huko ivaliwe duniani.

NYUMBA ZA IBADA.
Ni waasisi wa mafarakano, wanavaa nusu uchi, wanaleta ugomvi Kwa wanamaombi, wanashawishi watumishi kuzini,nk.

MOVIES NA MUZIKI.
Ni wanapendwa sana ni mastaa kuhakikisha uzinzi na uasi unatamalaki ktk jamii.

UCHUMI.
Wana pesa nyingi mno,majumba ya kifahari, hutojua wamevipataje.

KAZI.
Wanahama sana KAZI, hakosi KAZI, unaweza wafananisha na ''VIPEPEO'',.

KIFO.
Hawafi, Ukiwa nae ktk chombo Cha usafiri, husababisha ajali na Yeye hapati madhara yoyote, Hafi, atapotea tu hamtamuona sababu wanahama sana, Ikitokea kafa ni zuga tu, ataenda Kuzaliwa family ingine.

NDOA.
Atakuvunjia mahusiano na mtu sahihi, ukimuoa lazima urudi nyuma kimaisha.

SHULENI.
Ni waasisi wa vurugu, ukijoin mishe zake alizoanzisha mwisho anakusaliti,Wana akili sana.

MWONEKANO.
Ni kama Wana aibu machoni, anakwepesha ukimkazia, macho yake hayawezi ku reflect picha. Atembeapo hawezi kuliface jua, analipa jua mgongo. Ni wenye hasira, wanafurahia habari za vifo na UOVU, Nia ni kufanya umtende Mungu dhambi. Au ufe ktk dhambi.

KTK KUISHI.
Ni mtu wa kufuatilia maisha Yako kukuharibia maisha Kwa kila namna, mfitini, hapendi maombi,

ANGALIZO:
Unahitaji msaada wa Mungu zaidi kuwatambua, uwe na macho ya rohoni maana Si wote waliotajwa hapo juu ni wao, wengine waeza waiga hao mapepo ukawaona na tabia HIZO. AMEN.
 
SIASA;
Ni waongo, wanafurahia mateso ya wananchi, ni wanafiki, ni viongozi wa wauza sembe mostly, wanahamisha ushoga nk.

MITINDO na FASHION.
Ni wabunifu wa MITINDO ya uvaaji duniani, wanabuni mavazi ya KUZIMU na MITINDO ya huko ivaliwe duniani.

NYUMBA ZA IBADA.
Ni waasisi wa mafarakano, wanavaa nusu uchi, wanaleta ugomvi Kwa wanamaombi, wanashawishi watumishi kuzini,nk.

MOVIES NA MUZIKI.
Ni wanapendwa sana ni mastaa kuhakikisha uzinzi na uasi unatamalaki ktk jamii.

UCHUMI.
Wana pesa nyingi mno,majumba ya kifahari, hutojua wamevipataje.

KAZI.
Wanahama sana KAZI, hakosi KAZI, unaweza wafananisha na ''VIPEPEO'',.

KIFO.
Hawafi, Ukiwa nae ktk chombo Cha usafiri, husababisha ajali na Yeye hapati madhara yoyote, Hafi, atapotea tu hamtamuona sababu wanahama sana, Ikitokea kafa ni zuga tu, ataenda Kuzaliwa family ingine.

NDOA.
Atakuvunjia mahusiano na mtu sahihi, ukimuoa lazima urudi nyuma kimaisha.

SHULENI.
Ni waasisi wa vurugu, ukijoin mishe zake alizoanzisha mwisho anakusaliti,Wana akili sana.

MWONEKANO.
Ni kama Wana aibu machoni, anakwepesha ukimkazia, macho yake hayawezi ku reflect picha. Atembeapo hawezi kuliface jua, analipa jua mgongo. Ni wenye hasira, wanafurahia habari za vifo na UOVU, Nia ni kufanya umtende Mungu dhambi. Au ufe ktk dhambi.

KTK KUISHI.
Ni mtu wa kufuatilia maisha Yako kukuharibia maisha Kwa kila namna, mfitini, hapendi maombi,

ANGALIZO:
Unahitaji msaada wa Mungu zaidi kuwatambua, uwe na macho ya rohoni maana Si wote waliotajwa hapo juu ni wao, wengine waeza waiga hao mapepo ukawaona na tabia HIZO. AMEN.
Mkuu
Asante
Hapo kwenye KIFO umenifumbua macho aiseh!!
Kipindi cha nyuma nilitumia jukwaa hili kuandika udhaifu na changamoto zinazo wapata wananchi eneo nililopo!!Sasa kuna Wana kitengo wlimtuma mwenzao kuja kunichunguza Kuwa mi ni nani aiseh yule jamaa aliniambia aliwahi pata ajali ya gari pale mlima kitonga wakafa wote isipokuwa yeye nilipomuuliza ilikuwaje akaniambia Kuwa WAZEE WALIMSAIDIA YAANI MAJINI!!Anasema alipohojiwa na Wana habari aliwakwepa wazee walimuonya asiseme chochote!!!walipanga kwangu KWA miezi mitatu na tarehe waliokuja kupanga kwangu ndio tarehe ile ile waliondokea!!waliniacha mawazo mengi Sana Halafu walikuwa wananijua sana aiseh!!!
Hadi leo NAJIULIZA walitumwa kufanya nini!!?sijapata majibu!!nahisi kulikuwa na nguvu fulani nilikuwa inawaongoza ya Kijini au kipepo!!
Leo umenikumbusha kitu !!!!
 
Kitu wasichokijua wengi ni kwamba mareken imejengwa katika misingi ya kishetan kabisa ni pure evil state
Mafanikio ya kiuchumi ya Marekani ndio yamepotosha wengi kiasi kufikiri kuwa yanatokana na baraka za Mungu.

Hata Yesu alipojaribiwa aliambiwa akimsujudia mkuu wa dunia hii atapewa milki.
 
Mafanikio ya kiuchumi ya Marekani ndio yamepotosha wengi kiasi kufikiri kuwa yanatokana na baraka za Mungu.

Hata Yesu alipojaribiwa aliambiwa akimsujudia mkuu wa dunia hii atapewa milki.
Si Marekani pekee, Dunia nzima huhakikisha Watawala ni watu wao, ndomana utaona wanaochaguliwa kama Si wa ROMA basi ni ISLAM.

Hao ndio wamebuni teknolojia zote na mitandao aina mbalimbali na mifumo ya kiinteligensia duniani na kiutawala.

Hizo dini ni geresha tu, nyuma ya pazia ni makafara tu na blood shedin, ALIEOKOKA ni ADUI no moja kwao. Ndomana nimesema Ili TANZANIA mtu wa MUNGU asiye na ndimi mbili akalie kiti ni MUNGU mwenyewe aingilie kati.
 
Si Marekani pekee, Dunia nzima huhakikisha Watawala ni watu wao, ndomana utaona wanaochaguliwa kama Si wa ROMA basi ni ISLAM.

Hao ndio wamebuni teknolojia zote na mitandao aina mbalimbali na mifumo ya kiinteligensia duniani na kiutawala.
Ni waroma au waislam wangapi wamewahi kutawala amerika tangu ipate uhuru?!
 
Hata habari za corona, Magu aliletewa ujumbe wa manabii akasikiza ndipo akatoka kifua mbele kukataa CHANJO. Ile ni 666.

UGONJWA Ule wa mchongo ulitengezwa na freemason lengo kuu ni watu wasiabudu. Wakae ndani na wapigwe Chapa Kwa lazima Dunia nzima.

Walifanikiwa Kwa kiasi kikubwa, utaona hivi sasa ISLAM rate ya kwenda Hijja Iko so down, Makanisa mengi yalifungwa.

Watawala Wanalindwa kimwili na kiroho pia.
Us
Usiku wa Festo chinolo na unabii wake wa tarehe 3 mwezi wa 3 mwaka huu!!!?
 
Hata habari za corona, Magu aliletewa ujumbe wa manabii akasikiza ndipo akatoka kifua mbele kukataa CHANJO. Ile ni 666. Watawala Wanalindwa kimwili na kiroho pia.
Nadhani namjua mmojawapo aliempa taarifa jpm juu ya chanjo ya corona ni 666!ni huyo mjoli ambaye umesema ni FDR WETU ajaye!!NAJIULIZA kama mama anajua kuwa ataachia kiti kwa Huyu FDR!
 
Nadhani namjua mmojawapo aliempa taarifa jpm juu ya chanjo ya corona ni 666!ni huyo mjoli ambaye umesema ni FDR WETU ajaye!!NAJIULIZA kama mama anajua kuwa ataachia kiti kwa Huyu FDR!
Roho ya mauti inapoingia ktk family, msipostuka Wana family mkasahau KUOMBA Ili kuvunja roho hiyo, Huwa Ina TABIA ya KUJIRUDIA majira Yale Yale na nyakati zile zile.

Kuna familia moja, wao Kila ikifika tarehe 9 mwez April Kila mwaka walikuwa wanapata msiba, na KIFO chanzo ilikuwa ni ajali, iliwachukua muda mrefu sana wakipoteza ndugu, waliposhughulikia tatz mauti ya namna Ile ilikata.
 
Roho ya mauti inapoingia ktk family, msipostuka Wana family mkasahau KUOMBA Ili kuvunja roho hiyo, Huwa Ina TABIA ya KUJIRUDIA majira Yale Yale na nyakati zile zile.

Kuna familia moja, wao Kila ikifika tarehe 9 mwez April Kila mwaka walikuwa wanapata msiba, na KIFO chanzo ilikuwa ni ajali, iliwachukua muda mrefu sana wakipoteza ndugu, waliposhughulikia tatz mauti ya namna Ile ilikata.
Mkuu
WEWE
Na hilo umeliona!!!?
KWA mfumo ule ule!!?
Umekuwa Lema!!?
Haya Ndugu!!
Lakini angalau hakuchanja Sasa watasingizia nini!!?ugonjwa ule ule!!?
Aiseh!!!?
 
Mkuu
WEWE
Na hilo umeliona!!!?
KWA mfumo ule ule!!?
Umekuwa Lema!!?
Haya Ndugu!!
Lakini angalau hakuchanja Sasa watasingizia nini!!?ugonjwa ule ule!!?
Aiseh!!!?
Ni story tu ndugu. Hujawah sikia habar za magonjwa ya kurithi, hutizami jinsi umaskini na level ya maisha ya Watanzania inafanana? Mambo hutokea juu huko yalipoanzia.
 
Ni story tu Mkuu!!tunapiga story kama kawaida!!
Muda uende!!
Ooh; kumbe hata huyo unayesema alisalimika kwenye ajali mbaya kitonga kwa msaada wa majini ni story za kusukuma muda!

Mnapojadili mambo mazito ya kiimani kimzaha kwenye majukwaa kama haya mnayashushia hadhi.
 
Ooh; kumbe hata huyo unayesema alisalimika kwenye ajali mbaya kitonga kwa msaada wa majini ni story za kusukuma muda!

Mnapojadili mambo mazito ya kiimani kimzaha kwenye majukwaa kama haya mnayashushia hadhi.
You call it PROPAGANDA, sie ni hekaya tu, don't take it serious.
 
You call it PROPAGANDA, sie ni hekaya tu, don't take it serious.
Ooh; kumbe hata huyo unayesema alisalimika kwenye ajali mbaya kitonga kwa msaada wa majini ni story za kusukuma muda!

Mnapojadili mambo mazito ya kiimani kimzaha kwenye majukwaa kama haya mnayashushia hadhi.
Wakuu
Hizi mishe za majini sio mara ya kwanza kuziona KWA yule jamaa!
Kuna Binamu yangu mmoja Hadi leo alikabidhiwa KWA majini tangu akiwa tumboni KWA shangazi kisa mimba take ilimsumbua Sana shangazi Hadi leo ana Maisha ya ajabu sana!!alioa anaaacha anaoa tena hajali hata kama kazaa Watoto halafu mkali balaa wakati mwingine anasema hao majamaa Huwa yanamjia na kupiga nae stori hiyo ishu sio UONGO!
Tupige story tu!!
 
Back
Top Bottom