Kumtambua mtu Kuwa ni nusu pepo nusu mtu nayo ni kazi Sana!!!
SIASA;
Ni waongo, wanafurahia mateso ya wananchi, ni wanafiki, ni viongozi wa wauza sembe mostly, wanahamasisha ushoga nk.
MITINDO na FASHION.
Ni wabunifu wa MITINDO ya uvaaji duniani, wanabuni mavazi ya KUZIMU na MITINDO ya huko ivaliwe duniani.
NYUMBA ZA IBADA.
Ni waasisi wa mafarakano, wanavaa nusu uchi, wanaleta ugomvi Kwa wanamaombi, wanashawishi watumishi kuzini,nk.
MOVIES NA MUZIKI.
Ni wanapendwa sana ni mastaa kuhakikisha uzinzi na uasi unatamalaki ktk jamii.
UCHUMI.
Wana pesa nyingi mno,majumba ya kifahari, hutojua wamevipataje.
KAZI.
Wanahama sana KAZI, hakosi KAZI, unaweza wafananisha na ''VIPEPEO'',.
KIFO.
Hawafi, Ukiwa nae ktk chombo Cha usafiri, husababisha ajali na Yeye hapati madhara yoyote, Hafi, atapotea tu hamtamuona sababu wanahama sana, Ikitokea kafa ni zuga tu, ataenda Kuzaliwa family ingine.
NDOA.
Atakuvunjia mahusiano na mtu sahihi, ukimuoa lazima urudi nyuma kimaisha.
SHULENI.
Ni waasisi wa vurugu, ukijoin mishe zake alizoanzisha mwisho anakusaliti,Wana akili sana.
MWONEKANO.
Ni kama Wana aibu machoni, anakwepesha ukimkazia, macho yake hayawezi ku reflect picha. Atembeapo hawezi kuliface jua, analipa jua mgongo. Ni wenye hasira, wanafurahia habari za vifo na UOVU, Nia ni kufanya umtende Mungu dhambi. Au ufe ktk dhambi.
KTK KUISHI.
Ni mtu wa kufuatilia maisha Yako kukuharibia maisha Kwa kila namna, mfitini, hapendi maombi,
ANGALIZO:
Unahitaji msaada wa Mungu zaidi kuwatambua, uwe na macho ya rohoni maana Si wote waliotajwa hapo juu ni wao, wengine waeza waiga hao mapepo ukawaona na tabia HIZO. AMEN.