Fred Ngajiro aka Fred Vunjabei ni nani huyu jamaa?!

wewe mwenzako anaduka wewe una kuza nya tu
 
Kamwene ni Wahehe,

Kamwene, then unajibu Kamwene mnogage then unajibu ndimunofu, then unweza ukasema wanoge kukaye ? nae anajibu wanoge .... nimekaa iringa more than 5 years nasikia kihehe ila im not fluent ila ukiongea naelewa
Yaani unavyoongea kama una uhakika yani...kwa hiyo wahehe wakisalimiana kamwene kabila lingine hawaruhusiwi kusalimiana hivyo?
 
Yaani unavyoongea kama una uhakika yani...kwa hiyo wahehe wakisalimiana kamwene kabila lingine hawaruhusiwi kusalimiana hivyo?

labda na wabena ni hivyo hivyo ila ntauliza kwa jamaangu mbena ntamuuliza wao wanasalimianaje, nna uhakika na wahehe wabena sina uhakika
 
'wabena ni kakikundi cha wacheza bao'.

Hahahah ila we jamaa.
 
Kuhusu Hilo la ngada ninauhakika nalo Kuna mshkaji wangu kafukuzwa China na atakiwi kuingia huko kwasababu yake.. aliekuwa nyoka wake
Uhakika nilionao ni mmoja tu,Tz bado ni nchi ya kijamaa(anayebisha abishe) hatujazoea kuona mafanikio ya watu na tukayafurahia.

Sasa kwa jinsi huyo chalii anavyokuja juu kila siku kwny media jina lake kila sehemu nna uhakuka kuna figisu 1 wanamuandalia watampoteza mazima,hii ni regardless ya anafanya kitu legal/illegal,mifano mingi nimeiona ya dizaini hii.

Ukitaka kutoboa kwny nchi ya kijamaa kama yetu keep low profile hata uwe unatengeneza mabillion mangapi utaishi vyema lkn ukianza kuchomoza kwny media daily figisu zake ni usipime.

Wait&see.
 
Nilipoona ubini huo ngajiro nikajua ni mkinga, wakinga utajiri wao???!unakuta tajiri but analala chooni au anavaa ndala mdongeo(tofauti mguu huu na ule) na kingine kumbe ana undugu na fadhili ngajiro aliyekuwa anatia nia jimbo la iringa kumbe??
Umepiga fix hatari
 
Asilimia kubwa ya Wakinga wenye majumba Kariakoo wanaishi nyumba nzuri ila wanalala chini na hawaruhusiwi kula vizuri. Kila mwaka wanatoa kafara ndugu mmoja ili biashara ikuwe.
Kwa sababu wewe ni jamaa mbishi sitaki kubishana na wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…