Fred Ngajiro aka Fred Vunjabei ni nani huyu jamaa?!

Fred Ngajiro aka Fred Vunjabei ni nani huyu jamaa?!

Mnanichanganya....

Kwani Fadhili Ngajilo Ndiye VUNJA BEI?!!!

Mmh mbona HAWAFANANI?!!

Kwani Fadhili ninamfahamu kipindi cha nyuma tulikuwa wote VIJANA kindakindaki wa mh.Edward Lowassa ndani ya CCM....

Binafsi ananifahamu kama kijana compatriot wa CCM hasa ule mwaka kabla mh.Lowassa "hajakatwa" na kukimbia CCM....

Binafsi nimepata hisani ndogondogo kutoka kwake hasa za harakati za kazi za mh.Lowassa kabla hajahama CCM...

Ninakumbuka alishawahi kunipa mkononi 500,000 Kama INCENTIVE yangu kwa ajili ya shughuli za CHAMA 2014-2015....


Kama ndiye YEYE basi nikiri kuwa huyo Fadhili Ngajiro ni kaka msomi,MKIMYA,SMART UPSTAIRS,MWENYE UTU MSIKIVU na mpenda KUJIFUNZA kutoka kwa wengine.

Kama ndiye YEYE ninamtakia mafanikio TELE zaidi ya aliyonayo aaamin aaamin na kwa ninavyojua CHARISMA yake,basi JAMAA ATATUSUA zaidi,zaidi na zaidi kwa kuwa ana KIPAWA CHA LEADERSHIP pia.

MAENDELEO HAYANA CHAMA

Muuza Al Kasus
Jumbe Brown.
wewe mwenzako anaduka wewe una kuza nya tu
 
Kamwene ni Wahehe,

Kamwene, then unajibu Kamwene mnogage then unajibu ndimunofu, then unweza ukasema wanoge kukaye ? nae anajibu wanoge .... nimekaa iringa more than 5 years nasikia kihehe ila im not fluent ila ukiongea naelewa
Yaani unavyoongea kama una uhakika yani...kwa hiyo wahehe wakisalimiana kamwene kabila lingine hawaruhusiwi kusalimiana hivyo?
 
Yaani unavyoongea kama una uhakika yani...kwa hiyo wahehe wakisalimiana kamwene kabila lingine hawaruhusiwi kusalimiana hivyo?

labda na wabena ni hivyo hivyo ila ntauliza kwa jamaangu mbena ntamuuliza wao wanasalimianaje, nna uhakika na wahehe wabena sina uhakika
 
Kamwene si wahehe.
Hao wabena na wakinga husalimia vipi?

Kuna makabira ni iconic kwa sababu ni makubwa, mfano ukitaja Waha, Wasukuma, Wanyakyusa, Wachaga, Wamakonde, Wazaramo, Wanyaturu, Warangi, Wagogo, Wanyamwezi, Wahaya, Wakurya n.k haya hata hupati shida kujua salamu zao au yanakotokea.

Nakupa task nenda mkoa wowote ambao si wa nyanda za juu kusini mkute mtu yeyote ambaye hajawahi kufika hayo maeneo muulize unawajua wabena au Wakinga na unajua huwa wanasalimiaje akikupa jibu find me.

Fanya hivyohivyo kwa Mtu wa nyanda za juu kusini kuhusu Mkurya anapatikana wapi na asalimiaje uone maajabu 😂😂 wabena ni kakikundi cha wacheza bao
'wabena ni kakikundi cha wacheza bao'.

Hahahah ila we jamaa.
 
Kuhusu Hilo la ngada ninauhakika nalo Kuna mshkaji wangu kafukuzwa China na atakiwi kuingia huko kwasababu yake.. aliekuwa nyoka wake
Uhakika nilionao ni mmoja tu,Tz bado ni nchi ya kijamaa(anayebisha abishe) hatujazoea kuona mafanikio ya watu na tukayafurahia.

Sasa kwa jinsi huyo chalii anavyokuja juu kila siku kwny media jina lake kila sehemu nna uhakuka kuna figisu 1 wanamuandalia watampoteza mazima,hii ni regardless ya anafanya kitu legal/illegal,mifano mingi nimeiona ya dizaini hii.

Ukitaka kutoboa kwny nchi ya kijamaa kama yetu keep low profile hata uwe unatengeneza mabillion mangapi utaishi vyema lkn ukianza kuchomoza kwny media daily figisu zake ni usipime.

Wait&see.
 
Nilipoona ubini huo ngajiro nikajua ni mkinga, wakinga utajiri wao???!unakuta tajiri but analala chooni au anavaa ndala mdongeo(tofauti mguu huu na ule) na kingine kumbe ana undugu na fadhili ngajiro aliyekuwa anatia nia jimbo la iringa kumbe??
Umepiga fix hatari
 
Asilimia kubwa ya Wakinga wenye majumba Kariakoo wanaishi nyumba nzuri ila wanalala chini na hawaruhusiwi kula vizuri. Kila mwaka wanatoa kafara ndugu mmoja ili biashara ikuwe.
Kwa sababu wewe ni jamaa mbishi sitaki kubishana na wewe
 
Back
Top Bottom