Fred Ngajiro aka Fred Vunjabei ni nani huyu jamaa?!

Fred Ngajiro aka Fred Vunjabei ni nani huyu jamaa?!

Vunja bei
IMG_20201109_203622.jpeg
 
Na wewe ungepambana tungekua tunakuandika saa hizi ila umekalia umbea. Unataka usikie anauza unga au ana utajiri wa uchawi ndio uridhike na roho yako
Huyu OKW BOBAN SUNZU kazi kuleta mikosi simba kutoka kwa TL ambaye ni kichaa. Achana naye hana maana
 

Huyu jamaa nimemuona mara kadhaa akitajwa kama mjasiriamali mkubwa wa mavazi. Pia anatajwa kama mdau wa masuala ya burudani hususani mziki wa Bongo Fleva. Nimemuona akiwa katikati ya kundi la wasanii wa mziki na maigizo.

Gazeti la the Citizen limemuandika kama ni mjasiliamali kijana akijikita kwenye biashara ya mavazi.

Kabla sijamwagia sifa kama walivyofanya wengine, Nimejukuta nimetamani kumjua zaidi,kumjua nje ya box. Ametokea wapi.Amepambanaje.
Hiyo ni mkinga anawakimbiza wachaga nenda Kariakoo utajua historia yake
 
Wapi kasema anataka kujua kama anafanya biashara haramu?..Mbona waTz tumekua na roho za ajabu. Mtu anataka kujifunza zaidi nyie mnaita umbea. Je kama anataka kuandika thesis au kitabu. Ifike mahala tubadilike jamani.
Kujifunza si akamtafute mwenyewe angeulizia ofisi zake zilipo alekezwe akajifunzie huko. Mtu analeta article ya link inayomuelezea Fred Vunja bei ni nani bado anatuuliza sisi tena ni nani.
 
Mawazo ya kimasikini yapo mpaka jf aibu hii, nani kakwambia kila mkinga ni tajiri tuulize sisi tunaokaa nao hawa watu,Mazingira yao(makete) sio mazuri sana kwa uwekezaji hiyo iliwafanya watoke waende ugenini na ikawajengea nidhamu ya kufanya kazi,hawa watu wanaushirikiano na ni hard workers sana,endelea kuamini maneno ya walioshindwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
🙌🏾🙌🏾
 
Kisaikolojia mtoa mada huenda ni aina ya wale watu wenye hali ngumu ya maisha, pamoja na kupambana hasa lakini bado ugumu wa maisha unawaandama...

Baada ya mbilinge nyingi bila mafanikio wanafikia mahal wanahitimisha kuwa, "hakuna namna mtu anaweza kufanikiwa kihalali"...

Hawaishii hapo, kujustify hilo hitimisho na kujifariji wanaanza kupeleleza watu waliofanikiwa, "kutaka kujua ni kipi cha ziada na kisicho halali kimewafanikisha"...

Njia mojawapo ya kupeleleza, ndio kuanzisha nyuzi kama hizi...
🙌🏾🙌🏾🙌🏾🔥
 
Acha upumbavu wewe

Wabena na wakinga ni makabila yenye nidhamu kubwa ya pesa na usiri mkubwa Sana kuhusu pesa zao ni kwa Sababu sio watu wanaopenda kushow off kila kitu kwenye jamii ni watu wanapambana haswa na sio waoga kwa kitu chochote kwao mafanikio ni Jambo la muhimu. Ndiyo maana unaona leo hii kariakoo Wabena na wakinga wamejaa kibao .

Kama unasema ni masharti na nyie mkajaribu muone Kama mtafanikiwa kirahisi .

Popote walipo wananchi wenzangu wa Njombe ni mwendo wa kukazaa tu haina kufeli sikuhiz na vijana wetu wameenda shule mizigo tunanunua wenyewe direct kutoka nje ya nchi

Ukinidhulumu pesa/mali yangu mwisho wa mwaka nafunga hesabu na damu yako ili uzalishe zaidi upande mwingine
💪🏾
 
Acha upumbavu wewe

Wabena na wakinga ni makabila yenye nidhamu kubwa ya pesa na usiri mkubwa Sana kuhusu pesa zao ni kwa Sababu sio watu wanaopenda kushow off kila kitu kwenye jamii ni watu wanapambana haswa na sio waoga kwa kitu chochote kwao mafanikio ni Jambo la muhimu. Ndiyo maana unaona leo hii kariakoo Wabena na wakinga wamejaa kibao .

Kama unasema ni masharti na nyie mkajaribu muone Kama mtafanikiwa kirahisi .

Popote walipo wananchi wenzangu wa Njombe ni mwendo wa kukazaa tu haina kufeli sikuhiz na vijana wetu wameenda shule mizigo tunanunua wenyewe direct kutoka nje ya nchi

Ukinidhulumu pesa/mali yangu mwisho wa mwaka nafunga hesabu na damu yako ili uzalishe zaidi upande mwingine
Wabena na Wakinga ni moja ya makabira madogo sana hivyo wacha tujifunze zaidi kuhusu nyie.

Hatujui hata salamu zenu zikoje
 
Nilipoona ubini huo ngajiro nikajua ni mkinga, wakinga utajiri wao???!unakuta tajiri but analala chooni au anavaa ndala mdongeo(tofauti mguu huu na ule) na kingine kumbe ana undugu na fadhili ngajiro aliyekuwa anatia nia jimbo la iringa kumbe??
 
Back
Top Bottom