Fred Vunja Bei ateuliwa kuwa Mwenyekiti kamati ya Uchumi na fedha UVCCM Taifa

Sio Kwamba Walimwagana na mobeto baada ya Bidada Kuwa anataka Fedha Nyingi kutoka kwa Fredy. Hela ya Mkinga Uwaga Haitoki Kirahisi Aiseeeh Hakuna Watu Wabahili Kama Wakinga [emoji1787][emoji1787]

Wakinga hela yao ni ya "MWAKIPANDE" haitoki hovyo kwani ina masharti!!!
 
Sema CCM biashara zao nyingi ni mikopo kulipa matanga, muulize Shigongo hajawahi kulipwa hela zake tisheti na khanga....walichofanya walimlipa ubunge kwa kumpooza.

CCM ni taasisi moja dhulumati Sana.
Hata wakikupa tenda kwenye kampuni yako hulipwi ng'oo

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Siku namuona kumpitisha chairwoman president nilisema fursa teyale
 
Mastori ya town yamerejea. Wazee wa mishe wamekamata ndinga [emoji6]
 
Una uhakika au umeamua kujiongelea tu??

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Sijiongelei naongea na wewe maana naona umesema ulijua mimi mwanaume..Ndo nasema labda na ww ni mwamaume au nakosea?.kwa Avatar yako direct inajielezea ww ni mwanamke sasa why yangu udhani ni mwanaume. Any way ndo nawapa pole wale wanaoweka Avatar za kike while ni wanaume.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…