Sio Kwamba Walimwagana na mobeto baada ya Bidada Kuwa anataka Fedha Nyingi kutoka kwa Fredy. Hela ya Mkinga Uwaga Haitoki Kirahisi Aiseeeh Hakuna Watu Wabahili Kama Wakinga [emoji1787][emoji1787]
Naona unahemea uvunguni...tafuta vyanzo vingine vya kipato mkuu, mshahara ni mtegoHivi mshahara umetoka jamani mlio karibu na bank
Hata wakikupa tenda kwenye kampuni yako hulipwi ng'ooSema CCM biashara zao nyingi ni mikopo kulipa matanga, muulize Shigongo hajawahi kulipwa hela zake tisheti na khanga....walichofanya walimlipa ubunge kwa kumpooza.
CCM ni taasisi moja dhulumati Sana.
Wivu wa nini wakati simtegemei kwa lolote? Ukweli utabaki kuwa palepale huyo bwana mdogo ni mshamba tu.Acha wivu na roho ya korosho.
Na hapa ndo alipofeli jamaa yangu... Yani kujiingiza kwenye Siasa ni anaenda kupotea mazimaNaona anguko la huyu jamaa
Eti eeee au nitumie mwili wangu? Nipe ushauri ww unae hemea hewani😛😛Naona unahemea uvunguni...tafuta vyanzo vingine vya kipato mkuu, mshahara ni mtego
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
CCM ya Bashiru na wafanyabiashara ipi yenye nafuu?Utakuwa unanufaika na uwepo wa wafanyabiashara kwenye nafasi za uongozi!!! Utakuwa na mawazo ya kuwa tegemezi; hupendi kujitegemea na kuwa huru!!
We ke kumbe...kama ni hivo hii ni haki yakoEti eeee au nitumie mwili wangu? Nipe ushauri ww unae hemea hewani[emoji14][emoji14]
Poleni kwa mnaoweka avatar za kike while nyie ni wanaume hahaahhWe ke kumbe...kama ni hivo hii ni haki yako
I was thinking ni Me
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Una uhakika au umeamua kujiongelea tu??Poleni kwa mnaoweka avatar za kike while nyie ni wanaume hahaahh
Billionea?? Kivipi tena tafadhali? Husipendi kuamini kila kitu unachosikia mzee. His just above average lakini sio unavofikiria wewe.Dont let the fame get over your head.Ni bilionea muuza nguo ww je?
Wanyonge wakanyongwe na kutupwa mto KageraChama na inch sasa vinarudi kwa wenyewe (wenye pesa).
Basi kampuni yake imekula dili la bilioni 2.5. Ww yako inahali gani? Au una ata kampuni?Billionea?? Kivipi tena tafadhali? Husipendi kuamini kila kitu unachosikia mzee. His just above average lakini sio unavofikiria wewe.Dont let the fame get over your head.
Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
Hahahaaha!! So much to say lakini unajua anatafuta collateral sasa hivi ya kuchukulia mkopo?Basi kampuni yake imekula dili la bilioni 2.5. Ww yako inahali gani? Au una ata kampuni?
Hahahaaha!! So much to say lakini unajua anatafuta collateral sasa hivi ya kuchukulia mkopo?
Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
Yani apo ndo unaekea mkazo point yangu ya kuwa Fred is smart. Ukikataa itakuwa wivu tu. Mnyonge mnyongeni haki yake mpeniHahahaaha!! So much to say lakini unajua anatafuta collateral sasa hivi ya kuchukulia mkopo?
Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
Sijiongelei naongea na wewe maana naona umesema ulijua mimi mwanaume..Ndo nasema labda na ww ni mwamaume au nakosea?.kwa Avatar yako direct inajielezea ww ni mwanamke sasa why yangu udhani ni mwanaume. Any way ndo nawapa pole wale wanaoweka Avatar za kike while ni wanaume.