Sio Kwamba Walimwagana na mobeto baada ya Bidada Kuwa anataka Fedha Nyingi kutoka kwa Fredy. Hela ya Mkinga Uwaga Haitoki Kirahisi Aiseeeh Hakuna Watu Wabahili Kama Wakinga [emoji1787][emoji1787]
Wakinga hela yao ni ya "MWAKIPANDE" haitoki hovyo kwani ina masharti!!!