Fred Vunja Bei ateuliwa kuwa Mwenyekiti kamati ya Uchumi na fedha UVCCM Taifa

Fred Vunja Bei ateuliwa kuwa Mwenyekiti kamati ya Uchumi na fedha UVCCM Taifa

Anapoharibu ndio hapo,ukichanganya biashara na siasa mwisho wako ni mbaya unless waliokuteuwa hawatagombana au kutoka madarakani.

Escobar aliuza madawa vizurii huko Colombia alivyoingia kwenye siasa wakafukua makaburo yotee,wakamgeuka na kumuua.
What happened to ROSTAM?

Mama awe makini na wafanyabiashara kujiingiza kwenye chama... si vizuri katika kipindi chake yatokee ya ESCROW, Richmond, Kagoda nk ujinga mwingi sana huwa unajitokeza pale watu wanapotumia fursa hizi kujipatia mitenda na kuiba serikalini.


Kamati kama hizo bora kumpa mwenye pesa tayari, ukimpa kapuku ndio ataharibu kabisa
 
Kwani ndugu ni lini CCM itatoka madarakani??
Hakuna chenye mwanzo kisicho na mwisho!!!! Hata Nchi ya Romania chini ya kiongozi wake Shaiseskou ( sina hakika na spelling) hakuamini kama atatoka madarakani
Hakuna MTU angeamini kama dola LA kirumi lingeweka anguka.
Usicheze na muda ndugu
 
Rostam, Mo Dewji, Shabiby, Spika, Msukuma, Kigwa the list goes on and on wote hao walikua au bado ni wanasiasa and yet wafanyabiashara wakubwa tu.

Mtu anaweza kuwa mwanasiasa na mfanyabiashara at the same time. Binadamu wana uwezo wa kufanya tasks tofauti kwa wakati mmoja. Acha fikra za kijima za kuamini mwanasiasa bora ni yule maskini au kama walokole wanaoamini mbinguni wataenda maskini tu.

That being said, I know nothing about Vunjabei simtetei wala kumpinga nimewasilisha mtazamo wangu tu.
 
Sawa Mkuu . Ndiyo maana nimeomba tafsiri yako ya neno smart ni ipi, ili tuongee kauli moja. Kwa maelekezo yako hapo juu kwako smart ni mtu mwenye mafanikio bila ya kujali amefikaje kwenye hayo mafanikio. Sasa chief naomba uingie google au kwenye dictionaries utuwekee maana ya neno smart tafsiri yake.
Poa
Leo natetea mtu ata hanijui ila ndugu kipi ambacho fred hana hapa? Au kuna maana nyengine

Kikubwa naona ni wivu tu. Na pengine ww bado umejishikiza na kibarua chako afraid to even step out. Smart is a measurement of performance and achievements in nowadays world and not kutusua darasani. Learn to appreciate others achievements na uache choyo

Screenshot_20210525-055236_Chrome.jpg
 
Rostam, Mo Dewji, Shabiby, Spika, Msukuma, Kigwa the list goes on and on wote hao walikua au bado ni wanasiasa and yet wafanyabiashara wakubwa tu.

Mtu anaweza kuwa mwanasiasa na mfanyabiashara at the same time. Binadamu wana uwezo wa kufanya tasks tofauti kwa wakati mmoja. Acha fikra za kijima za kuamini mwanasiasa bora ni yule maskini au kama walokole wanaoamini mbinguni wataenda maskini tu.

That being said, I know nothing about Vunjabei simtetei wala kumpinga nimewasilisha mtazamo wangu tu.
Hao wote unajua wanakwepa kodi kwa asilimia ngapi?

Tabia hizi zinaturudisha nyuma sana.

Ngoja uone inzi watakanyokuja nyuma yake
 
chama kinarudi kwa wafanyabiashara waanze kufadhili kila kitu hadi campain,kisha tutegemee TRA wawafate kuwadai kodi? au wao kwa hiari yao ndo watakua wanajipangia kiasi cha kodi wanachostahili kulipa
Bora hao ...kuliko wale wanaopewa nafasi ya vyeo lakini wakiwa huko wanafanya uporaji

Ova
 
Magufuli aliitoa ccm ya Kikwete toka kuwa tegemezi kwa wafanyabiashara mpaka kuwa inajitegemea kwa kuvirudisha vitega uchumi vya chama kutoka kwa watu Binafsi!! Sasa hivi inaelekea ule ulege lege wa Kikwete wa kuwa omba omba kwa wafanyabiashara unarudia tena na hivyo mambo ya ufisadi yatashamiri upya tena!!!
Bora CCM irudi kwa wafanyabiashara kuliko kwa akina Bashiru na Polepole
 
Back
Top Bottom