MERCIFUL
JF-Expert Member
- Oct 17, 2011
- 2,788
- 3,126
😅 😅community husband
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅 😅community husband
Yaani kwa akili za hao wanawake wa bongo movies, wako standby wanasubiri kumpataAhamie kwa Amber Lulu, sasa.
Wanawake kama kiooNadhani Wanawake Hawajui Ni Nini Wanataka, Fikria Uwe Tajiri Watakusaliti Uwe Hauna Kipato Pia Utasalitiwa.. Kijana Wawatu Kutoka Ukingani Fredy Ngajiro Aka Fredy Vunjabei Kashalizwana Mobeto Hamisa, anabaki Tu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Baba ana shughuli yuuule!!Namsubiri Baba Levo apige Dongo....., Wasafi classic beibeeee
Sisi Tumeruhusiwa [emoji3][emoji3][emoji3]We unakulaga moja tu?
kwahiyo huwa unachepuka kidg.Jamani hata kama kama unakula kuku kila siku kuna siku utamiss vidagaa vyenye ndimu na pilipili kwa mbali....au nasema uongo ndugu yangu?!
Nani kawaruhusu? Na unaefanya nae si mwanamke au???Sisi Tumeruhusiwa [emoji3][emoji3][emoji3]
Sijawahikwahiyo huwa unachepuka kidg.
Uje tuchepuka Hata single dayNani kawaruhusu? Na unaefanya nae si mwanamke au???
yeye mwenyewe mwanaume hajui anataka niniNadhani Wanawake Hawajui Ni Nini Wanataka, Fikria Uwe Tajiri Watakusaliti Uwe Hauna Kipato Pia Utasalitiwa.. Kijana Wawatu Kutoka Ukingani Fredy Ngajiro Aka Fredy Vunjabei Kashalizwana Mobeto Hamisa, anabaki Tu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
HahahaMkinga bado ushamba wa jiji unamsumbu
Mkinga kaingia kichwa² kakutana na Binti wa Mbagala kamla Kichwa. Hapa town Kuna Majamaa Kazi Yao Ni Kunyandua Tu sisi wenye hela tunatunza [emoji3][emoji3][emoji3]yeye mwenyewe mwanaume hajui anataka nini
angejua angetulia na baby mama wake
Namtafutia bajetiUshamtengea au unamtafutia bajeti ya kiasi gani hivi?
Kabisaaa...huyu inabidi tumtoe kwenye kundi letu la wanaume.Ametutia aibu HOMEBOY
Duu.....😮View attachment 1754537
Fredi alikuwa kwenye michakato wa kumfungulia duka hamisa, ndio lilifikia hivo last update....sa itakuaje
Mobeto Karudisha Mpira Kwa Kipa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hivi akili zako ziko Sawa? Kwa hiyo akioa Mwaka huu ndo what? Watu wapo na ndoa zao na wana wapenz wao pemben unazimungumzia Habar za kuoa, ebu tupishe hapa