mojave
JF-Expert Member
- Apr 30, 2016
- 5,568
- 6,424
Ndioooo unasema kweri kabisa 😀 😀 😀Jamani hata kama kama unakula kuku kila siku kuna siku utamiss vidagaa vyenye ndimu na pilipili kwa mbali....au nasema uongo ndugu yangu?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndioooo unasema kweri kabisa 😀 😀 😀Jamani hata kama kama unakula kuku kila siku kuna siku utamiss vidagaa vyenye ndimu na pilipili kwa mbali....au nasema uongo ndugu yangu?!
Baada ya mfungo tutamfata kwa kumpigia magotiDuu.....😮
Ni kweli kabisa.Jamani hata kama kama unakula kuku kila siku kuna siku utamiss vidagaa vyenye ndimu na pilipili kwa mbali....au nasema uongo ndugu yangu?!
Vijana wa kibongo kuwa na mafanikio tu huwa haiwatoshi. Wanatafuta kudate na wadada wa mjini ili kutafuta umaarufu. Wanasahau kuwa smart people hawafanyi kazi na watu wenye scandals. Sijui tunafail wapi!Huyu jamaa mbona kama ni mjinga mjinga. Ana ushamba au ka ulimbukeni flani
'Bilionea' unapost vitu gani ivo....mabilionea wa bongo bana
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Ai-rename VunjaBei Toto 2View attachment 1754537
Fredi alikuwa kwenye michakato wa kumfungulia duka hamisa, ndio lilifikia hivo last update....sa itakuaje
😃😃Zamu yetu inakuja Arifu uyu ni mamsi wetuHadi leo sijamla huyu demu sijui zamu yangu lini tu!
Hakunaaa ngoja mfungo uishe turudi kwa yule mganga wetu, aliesambaza voice noteAi-rename VunjaBei Toto 2
vemaSijawahi
hupendi kula kuku kila siku?Ni kweli kabisa.
Kuna wa kulimalizia tayariSasa lile duka itakuaje jamani, mafundi ndio walikua wanamalizia kuchomelea grill afu sponsor anapepea.... itakuaje?!
Tabu unajaribu kuwa mmbea ila huuwezi waachie kina Jaymaudaku wewe uliwaona wanadate? Watu wanatafta pesa saivi na kama ni kweli wanajuana bac wanatafta kiki tu jamaa m1 apo juu kasema KUCHEZA NA AKILI ZA WABONGO NI KAZI RAHISI SANAA yaaniHivi akili zako ziko Sawa? Kwa hiyo akioa Mwaka huu ndo what? Watu wapo na ndoa zao na wana wapenz wao pemben unazimungumzia Habar za kuoa, ebu tupishe hapa
KAMA BABA YAKE JAH PIPO!!Mkinga bado ushamba wa jiji unamsumbua.
Huyu jamaa mbona kama ni mjinga mjinga. Ana ushamba au ka ulimbukeni flani
'Bilionea' unapost vitu gani ivo....mabilionea wa bongo bana
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Hapo sasa!Huyu nae alidhani kwa pesa zake za nguo bas hamisa atatulia? Akae kwa kuugulia moyoni, wapo wenye maandazi kumzidi yeye na wame mpiku. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mji mzito huu mweeeeh, kimeumana lol.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] nafkir pia walikua wanasubiria ile barabara ya lami ikishapigwa ndo wafungueSasa lile duka itakuaje jamani, mafundi ndio walikua wanamalizia kuchomelea grill afu sponsor anapepea.... itakuaje?!