Fred Vunja Bei na Hamisa Mobetto wadaiwa kumwagana; Fred amu-unfollow Mobetto Instagram

Fred Vunja Bei na Hamisa Mobetto wadaiwa kumwagana; Fred amu-unfollow Mobetto Instagram

Boss una uhakika huyo bilionea?
Mkuu ndio maana nikaandika 'bilionea' hizi alama ' ' zina maana sana ktk lugha na uandishi.

Huwaga wanajiita 'mabilionea'

Sasa nikasema 'bilionea' unaandika pumba ili upate 'kiki' afu eti wanasema ni 'msomi'

Hawa 'wasomi' ndio maana Msukuma anawadisi sana

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Vijana wa kibongo kuwa na mafanikio tu huwa haiwatoshi. Wanatafuta kudate na wadada wa mjini ili kutafuta umaarufu. Wanasahau kuwa smart people hawafanyi kazi na watu wenye scandals. Sijui tunafail wapi!
Afu eti huyu jamaa ni 'msomi'

Yani vitu anavyofanya utadhani hajapita shule.


Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Tabu unajaribu kuwa mmbea ila huuwezi waachie kina Jaymaudaku wewe uliwaona wanadate? Watu wanatafta pesa saivi na kama ni kweli wanajuana bac wanatafta kiki tu jamaa m1 apo juu kasema KUCHEZA NA AKILI ZA WABONGO NI KAZI RAHISI SANAA yaani

Sasa si uende kwa hao akina jaymaudaku kwan kuna mtu kakuita humu si ni umbea wako tu mxieew, warumi ni kama maji ukiingia jamii forum nimejaa kila kona, kama nakukera kajinyonge tu im here to stay bitch
 
hivi mwanamme unajitangazia wazi mitandanoni kama umechapiwa ? anakwama wapi huyu jamaa?
 
Sasa si uende kwa hao akina jaymaudaku kwan kuna mtu kakuita humu si ni umbea wako tu mxieew, warumi ni kama maji ukiingia jamii forum nimejaa kila kona, kama nakukera kajinyonge tu im here to stay bitch

Kama koku wa insta anaegombanaga na Dayon
Huwa anapenda hilo neno “am here to stay”
 
Mkinga kaingia kichwa² kakutana na Binti wa Mbagala kamla Kichwa. Hapa town Kuna Majamaa Kazi Yao Ni Kunyandua Tu sisi wenye hela tunatunza [emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kwani huwezi tafuta Dem,mkabanduana kimya kimya na kuachana kimya kimya? Mbona huku mtaani tunakula kimasihara kimya kimya na tunaachana kimya kimya tu
 
Back
Top Bottom