fogoh2
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 5,305
- 5,355
duh mitumba tu amekua level za kina Mo hongera zake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sa hv ukisikika Tu watu wakakujua tayar we ni billionaireduh mitumba tu amekua level za kina Mo hongera zake
Mchepuko Mambo?[emoji12]We unakulaga moja tu?
Poa mchepuko, upo....Mchepuko Mambo?[emoji12]
Sipendi kwakweli.hupendi kula kuku kila siku?
tatizo we jamaa una wivu tuMkuu ndio maana nikaandika 'bilionea' hizi alama ' ' zina maana sana ktk lugha na uandishi.
Huwaga wanajiita 'mabilionea'
Sasa nikasema 'bilionea' unaandika pumba ili upate 'kiki' afu eti wanasema ni 'msomi'
Hawa 'wasomi' ndio maana Msukuma anawadisi sana
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Majani atamfakamiaAhamie kwa Amber Lulu, sasa.
Huwezi kuwa msomi uliye elimika halafu unafanya mambo kama haya. Ni ushamba na upuuzi wa kiwango cha juu... Ushapata pesa, kick za nini???Afu eti huyu jamaa ni 'msomi'
Yani vitu anavyofanya utadhani hajapita shule.
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Ni pimbi nadhani anatafuta cheap popularity labda biashara haziendi
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Sawa Bonge kama mimi nina wivu ila we endelea kulamba makalio huku wakikushika yakoUna wivu mkali sana tajiri hanuniwi karibu Too Much Money
Karibu too much money tukusaidie upunguze makasiriko ya kishamba mkuuSawa Bonge kama mimi nina wivu ila we endelea kulamba makalio huku wakikushika yako
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app