Stanley Mitchell II
JF-Expert Member
- Jul 2, 2018
- 970
- 1,323
Mkuu ndio maana nikaandika 'bilionea' hizi alama ' ' zina maana sana ktk lugha na uandishi.Boss una uhakika huyo bilionea?
Afu eti huyu jamaa ni 'msomi'Vijana wa kibongo kuwa na mafanikio tu huwa haiwatoshi. Wanatafuta kudate na wadada wa mjini ili kutafuta umaarufu. Wanasahau kuwa smart people hawafanyi kazi na watu wenye scandals. Sijui tunafail wapi!
,sz4Nyie Mlimshinda Mpaka Malaika [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
SssHivi akili zako ziko Sawa? Kwa hiyo akioa Mwaka huu ndo what? Watu wapo na ndoa zao na wana wapenz wao pemben unazimungumzia Habar za kuoa, ebu tupishe hapa
Tabu unajaribu kuwa mmbea ila huuwezi waachie kina Jaymaudaku wewe uliwaona wanadate? Watu wanatafta pesa saivi na kama ni kweli wanajuana bac wanatafta kiki tu jamaa m1 apo juu kasema KUCHEZA NA AKILI ZA WABONGO NI KAZI RAHISI SANAA yaani
Yaniiii duka loading....hadi kaachwa sasa!!! Ila uzuri mganga yupo hamisa atafanya mambo[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] nafkir pia walikua wanasubiria ile barabara ya lami ikishapigwa ndo wafungue
Mfungo ukiisha tu, simu moja kwa mganga akeeeKuna wa kulimalizia tayari
Huyu jamaa mbona kama ni mjinga mjinga. Ana ushamba au ka ulimbukeni flani
'Bilionea' unapost vitu gani ivo....mabilionea wa bongo bana
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Hela mama helaHao wanawake nao ndio kukosa wanaume au ni nini?? Huyu kwa kweli ni bonge la mshamba.
Sasa si uende kwa hao akina jaymaudaku kwan kuna mtu kakuita humu si ni umbea wako tu mxieew, warumi ni kama maji ukiingia jamii forum nimejaa kila kona, kama nakukera kajinyonge tu im here to stay bitch
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mkinga kaingia kichwa² kakutana na Binti wa Mbagala kamla Kichwa. Hapa town Kuna Majamaa Kazi Yao Ni Kunyandua Tu sisi wenye hela tunatunza [emoji3][emoji3][emoji3]
nani bilionea mkuuHuyu jamaa mbona kama ni mjinga mjinga. Ana ushamba au ka ulimbukeni flani
'Bilionea' unapost vitu gani ivo....mabilionea wa bongo bana
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
🙆🙌We unakulaga moja tu?
Tatizo wakinga mmezid ubahili 😏😏Ametutia aibu HOMEBOY
Ni pimbi nadhani anatafuta cheap popularity labda biashara haziendiHao wanawake nao ndio kukosa wanaume au ni nini?? Huyu kwa kweli ni bonge la mshamba.