Sawa mtoto wa Vasco da Gama!Umekosa hoja ! Umekosa mvuto, Hauna dira yoyote ! Kama Kikwete kusafiri na Samia wewe unaumia, kasafiri nae wewe!? Kikwete hapangiwi na wewe mahali kwa kwenda wala Samia hapangiwi na wewe anatakiwa kusafiri nanani!
Stress za maandamano kukosa mvuto na wafuasi usiziamishie kwa JK wetu ! Hapo utakuwa unaharibu ! Kikwete tutamlinda kwa nguvu zote, Kikwete sio mgombea Ttena wa chama chochote! Kikwete ni mstaafu, pambaneni na Makonda anayewatoa kamasi kwa knockout kwa Kila jaribio lenu !
Kikwete aliwadekeza sana enzi za utawala wake lakini sasa ,mnataka kutufanya vifurukombe!
Unayemtetea ni mtoto wa Magomeni. Akina Husein Macheni wanaMJUA, na wengi mjengoni kawakata spring.Umekosa hoja ! Umekosa mvuto, Hauna dira yoyote ! Kama Kikwete kusafiri na Samia wewe unaumia, kasafiri nae wewe!? Kikwete hapangiwi na wewe mahali kwa kwenda wala Samia hapangiwi na wewe anatakiwa kusafiri nanani!
Stress za maandamano kukosa mvuto na wafuasi usiziamishie kwa JK wetu ! Hapo utakuwa unaharibu ! Kikwete tutamlinda kwa nguvu zote, Kikwete sio mgombea Ttena wa chama chochote! Kikwete ni mstaafu, pambaneni na Makonda anayewatoa kamasi kwa knockout kwa Kila jaribio lenu !
Kikwete aliwadekeza sana enzi za utawala wake lakini sasa ,mnataka kutufanya vifurukombe!
akitumia 🐒Akitumia mali za umma pasipostahili lazima awe agenda labda kama haujitambui na inatakiwa kuwa agenda kwa kila mtazania ili huyo mstaafu afikishwe mahakamani.
Sawa,najua unataka kubishana tu.Ni kweli mbowe sio size yangu ni mtoto mdogo sana kwenye siasa umeongea ukweli
Kwa hiyo ni mstaafu wa siasa?Ila chama kikuu cha upinzani kumjadili mtu ambaye hayupo kwenye active politics ni kuishiwa kisiasa. CHADEMA ongeleeni mambo yenye faida kitaifa.
😂😂😂Hii nchi kila mtu atakua chawa wa mama sasa! Hadi viongozi wastaafu
Kazi gani anaenda kufanya wakati ameshastaafu na anakula marupurupu ya kutosha kuliko mstaafu yoyote hapa nchini.?!Kikwete anaposafiri Kuna kazi anaenda kufanya haendi kuzurula kama una wivu na kusafiri kwa kikwete nenda kamuombe awe babaako
Samahani dada yangu.Kuna kitu ulitaka nikufanyie ili ujue Mimi ni mwanaume?
Hebu kunywa maji kwanzaKikwete aliwadekeza sana enzi za utawala wake lakini sasa ,mnataka kutufanya vifurukombe!
Ni upuuzi na ujinga wa Machadema kukosa akili na hoja.Umekosa hoja ! Umekosa mvuto, Hauna dira yoyote ! Kama Kikwete kusafiri na Samia wewe unaumia, kasafiri nae wewe!? Kikwete hapangiwi na wewe mahali kwa kwenda wala Samia hapangiwi na wewe anatakiwa kusafiri nanani!
Stress za maandamano kukosa mvuto na wafuasi usiziamishie kwa JK wetu ! Hapo utakuwa unaharibu ! Kikwete tutamlinda kwa nguvu zote, Kikwete sio mgombea Ttena wa chama chochote! Kikwete ni mstaafu, pambaneni na Makonda anayewatoa kamasi kwa knockout kwa Kila jaribio lenu !
Kikwete aliwadekeza sana enzi za utawala wake lakini sasa ,mnataka kutufanya vifurukombe!
Bila shaka anauongezea nguvu ule ulinzi usioonekana ulioachwa na Sheikh Yahya HusseinNaulizatu, mtamlinda wewe na nani?
Ndiyo ni mstaafu. Ukimwona jiingizie kidole halafu nusa.Kwa hiyo ni mstaafu wa siasa?
Na tukimuona kwenye majukwaa ya siasa?
Umekosa hoja ! Umekosa mvuto, Hauna dira yoyote ! Kama Kikwete kusafiri na Samia wewe unaumia, kasafiri nae wewe!? Kikwete hapangiwi na wewe mahali kwa kwenda wala Samia hapangiwi na wewe anatakiwa kusafiri nanani!
Stress za maandamano kukosa mvuto na wafuasi usiziamishie kwa JK wetu ! Hapo utakuwa unaharibu ! Kikwete tutamlinda kwa nguvu zote, Kikwete sio mgombea Ttena wa chama chochote! Kikwete ni mstaafu, pambaneni na Makonda anayewatoa kamasi kwa knockout kwa Kila jaribio lenu !
Kikwete aliwadekeza sana enzi za utawala wake lakini sasa ,mnataka kutufanya vifurukombe!
Amani au kufanya udalali wa Mali za Africa?Obasanjo Kila siku yupo nchi mbalimbali kwenye oparesheni za kudumisha amani ya afrika ukiwa mstaafu haukai nyumbani kuku wewe
Punguani, usilichafue jukwaa. Usidhani mtu humu JF ni punguani kama wewe.Ndiyo ni mstaafu. Ukimwona jiingizie kidole halafu nusa.
Huyo ni mama mwanaasha yule div IVSiku zote nilikuwa najua kuwa ww ni mwanaume.