Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
AminaSadaka yako mbele ya madhabahu ikawe jibu kwa watesi wako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AminaSadaka yako mbele ya madhabahu ikawe jibu kwa watesi wako.
Hata Mimi Nina mtazamo tofauti na wako hujishangai?Mama Samia ana mtazamo tofauti na wako. Hujishangai?
Kama wewe unavyotumbua macho kwenye comment yangu.Hata ukiulizwa ugaidi ni nini utaishia kutumbua macho tu.
Jichagulie tusi kaliArudie tena kufanya ugaidi.
Tangu lini wafuasi Wa mbowe mkawa na akili?Tunamuomba Mungu akuwezeshe kuwa na akili kama sisi wengine , Amina
Naona comment yangu imekuchoma kunakoJichagulie tusi kali
Hata Mimi Nina mtazamo tofauti na wako hujishangai?
Ya kutubuMisa ya shukrani au ya kutubu
Tulia wewe kapewa onyo sasa mwambieni ajichanganye tena.Kuwa tofauti na wangu si shida.
Tatizo ni kuwa na tofauti na wangu na wa Hangaya pia kwa wakati huo huo.
Hiiiiii bagosha!
View attachment 2140896
Kwani labda wewe ni yupi hapo juu au hapa chini?
View attachment 2140897
Unateseka ukiwa wapi?Arudie tena kufanya ugaidi.
Hapo ulipoUnateseka ukiwa wapi?
CrapArudie tena kufanya ugaidi.
Hii ni miongoni mwa ID zilizofunguliwa na Polepole kwa maelekezo ya Jiwe , hivi zile simu mlizopewa bure 2018 bado mnazo ?Tulia wewe kapewa onyo sasa mwambieni ajichanganye tena.
Tulia wewe kapewa onyo sasa mwambieni ajichanganye tena.
Askofu Dr Shoo alikuwepo?Leo Jumapili Freeman Mbowe amefika kwenye kanisa la KKKT Azania Front na kufanya maombi maalum yakiambatana na Sadaka , kwa lengo la Kumshukuru Mungu .
Askofu Dr Shoo alikuwepo?