Freeman Mbowe afanya Misa ya Shukrani Kanisani. Asema aliomba mashtaka yasifutwe ukweli udhihirike

Freeman Mbowe afanya Misa ya Shukrani Kanisani. Asema aliomba mashtaka yasifutwe ukweli udhihirike

akamtizama Yesu alotundikwa juu msalabani na madonda ya mateso .... kisha akajiona kapita matesoo kidogo na wokovu umemjiaaa
 
Hata Mimi Nina mtazamo tofauti na wako hujishangai?

Kuwa tofauti na wangu si shida.

Tatizo ni kuwa na tofauti na wangu na wa Hangaya pia kwa wakati huo huo.

Hiiiiii bagosha!

IMG_20220305_151655_415.jpg


Kwani labda wewe ni yupi hapo juu au hapa chini?

IMG_20220306_053509_333.jpg
 
Back
Top Bottom