Akabi kemanya
JF-Expert Member
- Oct 26, 2021
- 226
- 346
Yaan mbio zote hizo hata picha ya mpendwa wetu imekosekana akiwa kanisani🤔🤔🤔
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiku wa leo umekopwa?Hapo ulipo
Nafikiri angekuwa gerezani sahii anakula ndondo. Lakin mahakama imeshindwa kudhibitisha ugaidi, dpp ka drop kesi.Arudie tena kufanya ugaidi.
Mwambieni ajichanganye tena.Gaidi tulishalifukia kule Chato
Hii ni miongoni mwa ID zilizofunguliwa na Polepole kwa maelekezo ya Jiwe , hivi zile simu mlizopewa bure 2018 bado mnazo ?
Umekopana Mimi na weweUsiku wa leo umekopwa?
Mbona una makasiriko namna hii?
Huruma imemuweka huruNafikiri angekuwa gerezani sahii anakula ndondo. Lakin mahakama imeshindwa kudhibitisha ugaidi, dpp ka drop kesi.
Atakuwa gaidi if proved guilty
Mimi kwa kawaida sina mahusiano na makahaba. Pole sana, kwani sio mimi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]T
Umekopana Mimi na wewe
Mimi na mama yako tunafanya wote ukahabaMimi kwa kawaida sina mahusiano na makahaba. Pole sana, kwani sio mimi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Amemgaidi mazeli aaako?Arudie tena kufanya ugaidi.
Gaidi tulishalifukia kule Chato
Wewe ulimtukana nani ?Hivi nyinyi kila siku kumtukana marehemu lakini ukimkashifu Mbowe moderator anakuban ila kutukana wengine sawa! Mfano mi aliniban siku saba lakini kuna watu humu kila siku kutukana wengine wako huru tu! Moderator kama wewe ni CHADEMA useme tu! Kuwa moderator sio mchezo lazima uwe na kifua! Hukunifanyia fair!
Wewe unaonaje?
Mwambieni ajichanganye tena.
Tulia kidogoArudie tena kufanya ugaidi.
Nina wasiwasi na uraia wakoArudie tena kufanya ugaidi.
Kabisaaa,, Jamaa Ni zeros Brain..Tunamuomba Mungu akuwezeshe kuwa na akili kama sisi wengine , Amina
Haitasaidia ujumbe nimefikisha! Humu ndani naona Moderator anawatu wake! Wakiongea anachopenda hana shida nao ila ukiongea asichotaka anakuban!Wewe ulimtukana nani
Wewe ulimtukana nani ?
Mbowe gaidiNina wasiwasi na uraia wako
Mwambie ajichanganye tena atakionaUtamfanya nini wewe muuza mbege wa Rau Madukani?