Sultan MackJoe Khalifa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2022
- 6,782
- 14,148
Mbowe hana baya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu jikite kwenye uzi husikaHakuna atakaekuonya ,hamia kwa mzee Mbowe mazima
Huku kenge mwambie aache lugha za ovyo ,nae ati anajiita Akili kubwa ,its is simply PATHETICMkuu jikite kwenye uzi husika
Ukabil tu ndio unaharibu haiba yake ,angeachana na ukabila hata Lowassa angekaaa mazimaMbowe hana baya.
Alitaka avae nguo za kihuni kama alizovaa Makonda kipindi Cha msiba wa Mzee mengiNi busara kukaa kimya wakati mwingine ili kuacha shaka juu ya upumbavu wako kuliko kufungua kinywa chako na kuondoa hata ile punje ya shaka ya kuwa upumbavu.
Kanzu ni vazi tu na si uwakilishaji wa kidini kama unavyotaka kumaanisha, hivyo hakuna maigizo bali usahihi wa vazi husika kwa hafla/shughuli husika. Ingekuwa kichekesho endapo angevaa tracksuit ama kipensi ikiwa amekwenda msibani.
Siku nyingine tafakari kabla ya kuandika.
Vazi lile la Makonda kwenye Msiba wa Mengi lilitufanya tuanze kuchunguza chanzo cha kifo cha MengiAlitaka avae nguo za kihuni kama alizovaa Makonda kipindi Cha msiba wa Mzee mengi