Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Unaelewa state dressing?Mbona Marais au viongozi wa Marekani wakienda uarabuni huwa hawavai kanzu na baraghashia ?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaelewa state dressing?Mbona Marais au viongozi wa Marekani wakienda uarabuni huwa hawavai kanzu na baraghashia ?!
mchaga wa pwani
Hapana lakini nafikiri World Cup sio state dressing pia ila hata huko Qatar sikumuona Morgan Freeman, David Beckham, Elon Musk, Infantino au watu wengine mashuhuri kutoka West wakiwa wamevaa kanzu.Unaelewa state dressing?
Ni utamaduni pia wa watu wa mashariki ya mbali. Wayahudi, Waarabu ndo mavazi yao.Kanzu vazi la heshima waulize kwann maaskofu wanavaa kanzu ndo utajua hujui
Kwa sababu wameamua, kuna mkutano wa nchi za ASEAN rais wa Marekani alivaa ki Indonesia.Mbona Marais au viongozi wa Marekani wakienda uarabuni huwa hawavai kanzu na baraghashia ?!
Zaidi ya kuwa Masikini huna lolote jingineUkitaka matusi na kashfa nikupe taarifa mimi ndiye niliyempa shetani mapendekezo ya matusi mazito.
Uache ujinga na uchawa mbweha wewe.
Watu wenye akili wanajibu vyema kabisa.Ukienda Roma ishi kama Waroma.
Hivi kwa akili hizi unavukaje barabara wewe kimer?Zaidi ya kuwa Masikini huna lolote jingine
Matusi na uchawi ndio nguzo ya kapuku , endelea tuHivi kwa akili hizi unavukaje barabara wewe kimer?
Chadema walaaniwe kisawasawa hakika,kama nchi tumeingiliwa kuwa na kampuni binafsi kuwa chama cha upinzani .Hakika CCM itatawala milele na milele.Watanzania msiposhtuka mtapigishwa kwata na hizi kampuni binafsi kwa mgongo wa siasa hadi KIAMA.Mungu Ibariki CHADEMA
Kuvaa kanzu hakuna tofauti na kuvaa suti. Na sio mbaya kuvaa kutegemea na jamii mahalia. Na kama unafikiri kuvaa kanzu ni maigizo, vipi kuvaa suti nzito kwenye joto kama Dar es Salaam? Ahahahahaha!!!Hivi huwa kuna ulazima kuigiza uvaaji wa kanzu?
Maana haya ni maigizo kwa kamanda wetu ( nasubiria koment za wagonjwa wa akili)😂
Mwanasiasa katika ubora wake ikibidi Hata kubadilisha kwa muda dini yake ili kulichukua kundi fulani !
Yale yaliishia kwa Jumanne MalecelaMwanasiasa katika ubora wake ikibidi Hata kubadilisha kwa muda dini yake ili kulichukua kundi fulani !
Hakuna kuigiza,haya ni mavazi Yesu, wote wamevaa mavazi haya.Muhammad(Rehema na Amani ziwe juu yake).Muhammad(Rehema na amani ziwe juu yake),amemtaja sana Yesu.Hivi huwa kuna ulazima kuigiza uvaaji wa kanzu?
Maana haya ni maigizo kwa kamanda wetu ( nasubiria koment za wagonjwa wa akili)😂
Sipendi hii tabia ya kuigiza.Hivi huwa kuna ulazima kuigiza uvaaji wa kanzu?
Maana haya ni maigizo kwa kamanda wetu ( nasubiria koment za wagonjwa wa akili)😂
Anakosea saana kulea uchagga pale kwenye chama ,leo nimeshangaa sana hajaambatana na LemaMoja ya watu bora kuwepo Tanzania ni pamoja na Aboubakari Mbowe the guy is smarter ,intelligent , humbleness , Goodness, kindness and God fearing person.
Umelinda HESHIMA yako ,Utu ,maadili na kuunganisha taifa
Sijawahi kuwaona Nyerere na Mkapa katika kanzu, Nyerere labda baraghashia, ila jiwe alikuwa anapenda sana kuvaa kanzu pamoja na salamu nyingi za kidini.Kwa sababu wameamua, kuna mkutano wa nchi za ASEAN rais wa Marekani alivaa ki Indonesia.
Pia, kuvaa kanzu na barghashia si sehemu ya utamaduni wa Marekani. Kanzu na barghashia ni sehemu ya mavazi ya watu Tanzania hivyo si ajabu kiongozi wa kitaifa anayejenga umoja wa kitaifa Tanzania kuvaa kanzu na barghashia.
Kanzu ni vazi tu. Muhimu zaidi ni mawazo ya mtu.Sijawahi kuwaona Nyerere na Mkapa katika kanzu, Nyerere labda baraghashia, ila jiwe alikuwa anapenda sana kuvaa kanzu pamoja na salamu nyingi za kidini.