Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Una visa sana mkuu🤣Mungu Ibariki CHADEMA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una visa sana mkuu🤣Mungu Ibariki CHADEMA
AminaMungu Ibariki CHADEMA
Ficha ujinga wako...Acha udini hautakupeleka sehemu nzuri kwani mwisho wake ni mbaya sana.Hivi huwa kuna ulazima kuigiza uvaaji wa kanzu?
Maana haya ni maigizo kwa kamanda wetu
Mgonjwa wa akili mwingine huyu hapa🤣🤣🤣🤣Ficha ujinga wako...Acha udini hautakupeleka sehemu nzuri kwani mwisho wake ni mbaya sana.
Mwenyekiti wa Chadema , Freeman Mbowe amekuwa miongoni mwa Watanzania waliofika Kwenye Uwanja wa Amani , huko Zanzibar kwa ajili ya kushiriki maziko ya Aliyekuwa Rais wa Tanzania awamu ya Pili , Ally Hassan Mwinyi .
Mbowe ambaye pia huko Zanzibar anafahamika kama Ustaadh Aboubakar Mbowe , Ameambatana na Naibu Katibu Mkuu wa chama chake Salum Mwalimu
View attachment 2922096View attachment 2922097
Hakudai nafasi ya kusema!Mwenyekiti wa Chadema , Freeman Mbowe amekuwa miongoni mwa Watanzania waliofika Kwenye Uwanja wa Amani , huko Zanzibar kwa ajili ya kushiriki maziko ya Aliyekuwa Rais wa Tanzania awamu ya Pili , Ally Hassan Mwinyi .
Mbowe ambaye pia huko Zanzibar anafahamika kama Ustaadh Aboubakar Mbowe , Ameambatana na Naibu Katibu Mkuu wa chama chake Salum Mwalimu
View attachment 2922096View attachment 2922097
HayaHakudai nafasi ya kusema!
Mkuu acha ukauzu kwenye maisha.
Tunaenda na mazingira, mila na tamaduni.
Ndio maana Makonda akienda umasaini anavaa Shuka begani.
Sio maigizo bali ni kushiriki mila na desturi za watu wa hapo ni furaha na inaleta raha.
😆😆😆😆Laigwanan Abubakar Mwamba Mbowe....
Sugu ametema cheche huko......
Acha wivu roho mbaya mpaka misibani...Hivi huwa kuna ulazima kuigiza uvaaji wa kanzu?
Maana haya ni maigizo kwa kamanda wetu ( nasubiria koment za wagonjwa wa akili)😂
Umesoma kwenye mabano?Laigwanan Abubakar Mwamba Mboweyou
Acha wivu roho mbaya mpaka misibani...
Nyegere mjane..Umesoma kwenye mabano?
Huyu ni mgonjwa mwingine
Aah kumbe u mjane pia?🤣Nyegere mjane..
Wapo hapo Sugu katuwakilisha vyema...Makamanda wengine kina Lema, Sugu, Heche, Lissu wako wapi? Nimeshangaa sisikii Lema akilalamika kutopewa nafasi ya kuzungumza msibani.
Sheikh Abdarahman Mbowe Saidi Shyboob
Sheikh Abdarahman Mbowe Saidi Shyboob
😆😆😆😆Sheikh Abdarahman Mbowe Saidi Shyboob
Chuki itakutafuna vizuri. Na wewe rudi uvae magamba ya miti au uchi kabisa.Hivi huwa kuna ulazima kuigiza uvaaji wa kanzu?
Maana haya ni maigizo kwa kamanda wetu ( nasubiria koment za wagonjwa wa akili)[emoji23]