Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani vipi tena ?Chuki itakutafuna vizuri. Na wewe rudi uvae magamba ya miti au uchi kabisa.
Mzee ana bahati huyu ,amefanikiwa kutumia saccos kwa mlango wa siasaMwenyekiti wa Chadema , Freeman Mbowe amekuwa miongoni mwa Watanzania waliofika Kwenye Uwanja wa Amani , huko Zanzibar kwa ajili ya kushiriki maziko ya Aliyekuwa Rais wa Tanzania awamu ya Pili , Ally Hassan Mwinyi .
Mbowe ambaye pia huko Zanzibar anafahamika kama Ustaadh Aboubakar Mbowe , Ameambatana na Naibu Katibu Mkuu wa chama chake Salum Mwalimu
View attachment 2922096View attachment 2922097
They are all idiotsTundu Lissu is smart.
Freeman Mbowe is smarter.
Munguu ilaana SACCOS ya mzee MboweMungu Ibariki CHADEMA
Yaaani ndio tulikuwa tunamsubiria aropoke kama kawaida yakeMakamanda wengine kina Lema, Sugu, Heche, Lissu wako wapi? Nimeshangaa sisikii Lema akilalamika kutopewa nafasi ya kuzungumza msibani.
Calling them idiots is a bit extreme. It’s just contributed by naivety they’ve been naive.They are all idiots
Ni Vazi la Kimila la Watu wa Mashariki ya Kati ni sawa na sisi Migolole yetu ambayo tulioambiwa ni ya Kishenzi na tukaamini.Kanzu vazi la heshima waulize kwann maaskofu wanavaa kanzu ndo utajua hujui
No Doubt at ALLIdiocy is much contributed by naivety.
Anaitwa Ustaadh Aboubakar Mbowe,sasa hayo maigizo sijui yametokea wapi.Hivi huwa kuna ulazima kuigiza uvaaji wa kanzu?
Maana haya ni maigizo kwa kamanda wetu ( nasubiria koment za wagonjwa wa akili)😂
AlhadSheikh ubwabwa.
Nadhani umerukwa na akiliMunguu ilaana SACCOS ya mzee Mbowe
Na Lema je karukwa na nini ?Nadhani umerukwa na akili
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Aaa wapi anadanganya tu[emoji23]
SahihiKanzu za kizimkazi na kanzu za maaskofu ni tofauti kimuonekano usichanganye.
Kama ni vazi la kawaida kwanini Mbowe avae tu kwenye mikusanyiko ya kidini ya kiislam na sio kwenye kampeni au kanisani?
Marehemu huwa hawaoni mikono inayopungwaPosho imeshaingia ya safari kwa mheshimiwa mwenyekiti na pacha ya kutundika ukutani ofisi za Chadema mumepata hongereni.Kaishia kupiga pacha tu hajapewa hata nafasi ya kupunga mkono tu
Anatukuza uarabu, eti anaitwa ustaadh aboubakar! Ujinga tuu mbona Duni alipokuwa mgombea mwenza hawakumuita Mathayo?Hivi huwa kuna ulazima kuigiza uvaaji wa kanzu?
Maana haya ni maigizo kwa kamanda wetu ( nasubiria koment za wagonjwa wa akili)😂