LGE2024 Freeman Mbowe akamatwa na Jeshi la Polisi akielekea Mbozi mkoani Songwe

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Hayo ni maigizo na geresha tu, a false flag events in order to deceive the public.
 
Hawajatoweka nae pasipojulikana jumatatu mtamkuta mahakamani kwa kosa la kuingilia mkutano wa ACT mlalamikaji ni jamuhuri mashahidi ni waliomkamata
Umeandika usichokijua. ACT walishakubali kuwaachia chadema. Pitia taarifa ya zitto huko Twitter, walishakubaliana kuwaachia chadema nafasi.

Kakamatwa kwa jambo lingine
 
haya waliyafanya makaburu huko south africa , ccmu wanàyarudia karne ya 21
 
Alikubali mwenyewe kuchukua pesa za watu. Arudishe kwanza pesa alizochukua. Huwezi kuchukua pesa alafu ukaendelea kupinga
hii nchi wajinga ni wengi , bado Kuna watu mpo kwenye hatua ya zinjanthropus , ruzuku sio pesa za ccmu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…