LGE2024 Freeman Mbowe akamatwa na Jeshi la Polisi akielekea Mbozi mkoani Songwe

LGE2024 Freeman Mbowe akamatwa na Jeshi la Polisi akielekea Mbozi mkoani Songwe

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
hii nchi wajinga ni wengi , bado Kuna watu mpo kwenye hatua ya zinjanthropus , ruzuku sio pesa za ccmu
Sijazungumzia ruzuku, nazungumzia pesa ambazo kila siku lissu anasema viongozi wamechukua kutoka ccm. Akasema pia kiongozi wao mkubwa alienda na wanaccm nyumbani kwake wakiwa na mabegi ya pesa wanataka kumuhonga afunge mdomo
 
Uvunjifu wa amani nchini utasababishwa na viongozi wa serikali ya ccm.

Kwa sababu hawako tayari kuondoka madarakani kwa sanduku la kura hivyo

Wako tayari kutumia vyombo vya ulinzi na usalama kudhoofisha wananchi na viongozi wa Chadema na upinzani kiujumla.

Kwa kuwaumiza kuwaua na kuwajeruhi na wengine kwenda magerezani kwa kubambikiwa kesi.
 
Hata wewe ukifanyiwa fujo mlalamikaji anakua jamuhuri na siyo wewe, we unakua ni shahidi tu
Kwamba unifanyie fujo halafu sijakupeleka mahakamani jamuhuri irukie tu hiyo fujo?
 
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Mheshimiwa Freeman Mbowe amekamatwa na Jeshi la Polisi katika mapori ya HALUNGU akiwa njiani anaelekea Mbozi baada ya kutoka Mlowo ambapo mkutano wale ulizuiwa na Jeshi la Polisi kwa Kutawanya Watu kwa mabomu ya machozi

Magari yameharibiwa kwa kuvunjwa Vioo,Watu waliokuwa katika msafara wa Mbowe wamepigwa vibaya mno,wamepoteza simu na fedha.

Polisi wamempakia Mheshimiwa Mbowe katika Defender na Kutoweka naye pasipo Julikana.

Viongozi wengine waandamizi wamekamatwa na Kupakiwa katika gari tofauti na ile iliyombeba Mheshimiwa Freeman Mbowe.

Pia soma
- LGE2024 - Polisi watawanya Mkutano wa Mbowe kwa Mabomu. Kosa kaingilia ratiba ya ACT-Wazalendo
View attachment 3158721
Ndio siasa wanazoweza kufanya fujo na kukamatwa ushaawishi umewashinda
 
Why him?
Hizi movie za kuwafanya waTang ni mazuzu haya buana. Next……
 
Hawajatoweka nae pasipojulikana jumatatu mtamkuta mahakamani kwa kosa la kuingilia mkutano wa ACT mlalamikaji ni jamuhuri mashahidi ni waliomkamata
ACT, ndio mlalamikaji au serikali au ccm au wananchi
 
Screenshot_2024-11-22-15-01-46-1.png
Screenshot_2024-11-22-15-01-39-1.png
 
Magari yameharibiwa kwa kuvunjwa Vioo,Watu waliokuwa katika msafara wa Mbowe wamepigwa vibaya mno,wamepoteza simu na fedha.🥺🥺🥺
Vipi mtaalamu, hamuwezi kuwaroga??
 

Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Mheshimiwa Freeman Mbowe amekamatwa na Jeshi la Polisi katika mapori ya HALUNGU akiwa njiani anaelekea Mbozi baada ya kutoka Mlowo ambapo mkutano wale ulizuiwa na Jeshi la Polisi kwa Kutawanya Watu kwa mabomu ya machozi

Magari yameharibiwa kwa kuvunjwa Vioo,Watu waliokuwa katika msafara wa Mbowe wamepigwa vibaya mno,wamepoteza simu na fedha.

Polisi wamempakia Mheshimiwa Mbowe katika Defender na Kutoweka naye pasipo Julikana.

Viongozi wengine waandamizi wamekamatwa na Kupakiwa katika gari tofauti na ile iliyombeba Mheshimiwa Freeman Mbowe.

Pia soma
- LGE2024 - Polisi watawanya Mkutano wa Mbowe kwa Mabomu. Kosa kaingilia ratiba ya ACT-Wazalendo
View attachment 3158721
Wale makomando walikuwa wapi?
 

Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Mheshimiwa Freeman Mbowe amekamatwa na Jeshi la Polisi katika mapori ya HALUNGU akiwa njiani anaelekea Mbozi baada ya kutoka Mlowo ambapo mkutano wale ulizuiwa na Jeshi la Polisi kwa Kutawanya Watu kwa mabomu ya machozi

Magari yameharibiwa kwa kuvunjwa Vioo,Watu waliokuwa katika msafara wa Mbowe wamepigwa vibaya mno,wamepoteza simu na fedha.

Polisi wamempakia Mheshimiwa Mbowe katika Defender na Kutoweka naye pasipo Julikana.

Viongozi wengine waandamizi wamekamatwa na Kupakiwa katika gari tofauti na ile iliyombeba Mheshimiwa Freeman Mbowe.

Pia soma
- LGE2024 - Polisi watawanya Mkutano wa Mbowe kwa Mabomu. Kosa kaingilia ratiba ya ACT-Wazalendo
View attachment 3158721
Ashughulikiwe tuu hakuna namna 😂😂
 
Back
Top Bottom