LGE2024 Freeman Mbowe akamatwa na Jeshi la Polisi akielekea Mbozi mkoani Songwe

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Mimi nilidhani CCM wameridhika na engua engua waliyo fanya kumbe Bado hawajatosheka.
 
amewaelekeza tu kwamba njooni mnikamate ili utengeneza story na kupoteza wabongolala maboya. hapo chadema wataishia kujadili kukamatwa kwake badala ya kuongelea mambo ya msingi. wengi tumesoma cuba alafu mnafikiri tunadanganyika kirahisi.
Siasa=Si-hasa=Si kweli
 
Magufuli alikuwa na mabaya yake ila huyu kazidi.
Anatumia nguvu kupita kiasi
Unaijua Nguvu Kupitia kiasi au ndio una shida zako?
.
Aliyemtandika Mbowe Hadi karibia kuvunja mguu na kudingia alilewa alikuwa Samia?

Aliyempa Mbowe kesi ya ugaifi alikuwa Samia?

Aliyewapiga marufuku kufanya siasa Nje ya majimbo Yao ni Samia?

Aliyewapira Mali zao eg bilicans , Kuharibu Mali zake Hai ni Samia?

Kimsingi hata Mbowe mwenyewe akikusikia atakuina mpumbavu na huna akili,
 
Hizo nguvu zingetumika pale Kariakoo, na imani watu wengi wangepatikana wakiwa hai.
 
Huyo mwenye nguo nyekundu aliyelambwa sio mdude kweli 😂
 
 

Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Mheshimiwa Freeman Mbowe amekamatwa na Jeshi la Polisi katika mapori ya HALUNGU akiwa njiani anaelekea Mbozi kwenye Kampeni za Uchaguzi ...
Hakuna lingine zaidi ya njama ya kuwakwamisha kwenye kampeni yao na siku zenyewe za kampeni ni chache. Kwa uonevu huo wananchi watawapigia kura za huruma wanaoonewa.
 
Hawa CCM wanataka kuwakatisha tamaa wanachama wa upinzani ili wasusie kupiga kura, jambo ambalo litawapa mwanya wa kuchakachua.

Wapinzani mmeshavulia maji nguo, hakuna kurudi nyuma.
 
Usipotii Sheria utapigwa tu na kama amekaidi hao mapolisi wahakikishe anatumia magongo maisha yake yaliyobaki tunahitaji siasa safi za kistaarabu
Hembu tusanue kilichokosewa.
 
Kama Dk Kizza Besigye yuko mahabusu huko kwa makosa mbalimbali ya jinai, Mbowe nani asikamatwe, nchi hii lazima usalama upewe kipaumbele, halafu tukiandika ya kweli Jamiiforums wanayapuuza wanaweka yale ya kugombanisha Serikali, hata hii wataifuta pia
 
Wewe ni mpumbavu! Mbona tulivyokuwa tunamlinganisha Magufuli na BOKASA ulikuwa unashupaza kiuno?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…