LGE2024 Freeman Mbowe akamatwa na Jeshi la Polisi akielekea Mbozi mkoani Songwe

LGE2024 Freeman Mbowe akamatwa na Jeshi la Polisi akielekea Mbozi mkoani Songwe

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Pamoja na Mwenyekiti Freeman Mbowe wengine hawa hapa

View attachment 3158782

Shukrani kuu imwendee aliyerekodi tukio hili la kinyama lililokuwa na nia ovu, inaelezwa kwamba bila video kuvujishwa na msamaria mwema watuhumiwa hawa wangeweza kupotea milele

View attachment 3158786

Bila Polisi hakuna CCM
Ni upuuzi tupu.

Chadema tambueni kwamba mpo vitani, kulalamika tu kwa maneno matupu haitwasaidia kitu. Chukueni hatua madhubuti ili kukomesha udhalimu huo mnaofanyiwa, tumechoka kusikia malalamiko yenu ya maneno matupu miaka yote.
Ikiwa Kama Ccm inatumia majeshi yake ya Polisi na Tiss, Je, na nyinyi nao mnashindwa Nini kutumia ya kwenu???


"The right cannot be given as a gift by the oppressor, it must be demanded by the oppressed."

Dr. Martin Luther King Jr.
 
Ni upuuzi tupu.

Chadema tambueni kwamba mpo vitani, kulalamika tu kwa maneno matupu haitwasaidia kitu. Chukueni hatua madhubuti ili kukomesha udhalimu huo mnaofanyiwa, tumechoka kusikia malalamiko yenu ya maneno matupu miaka yote.
Ikiwa Kama Ccm inatumia majeshi yake ya Polisi na Tiss, Je, na nyinyi nao mnashindwa Nini kutumia ya kwenu???


"The right cannot be given as a gift by the oppressor, it must be demanded by the oppressed."

Dr. Martin Luther King Jr.
Ushauri wako umepokelewa
 
Pamoja na Mwenyekiti Freeman Mbowe wengine hawa hapa

View attachment 3158782

Shukrani kuu imwendee aliyerekodi tukio hili la kinyama lililokuwa na nia ovu, inaelezwa kwamba bila video kuvujishwa na msamaria mwema watuhumiwa hawa wangeweza kupotea milele

View attachment 3158786

Bila Polisi hakuna CCM
Walikua wanafanya nini msituni?

Huyo ligwenya na adamoo ndo wale makomando?
 
20240907_095744 (1).jpg
 
What goes around comes around, endelea kuchekelea ujinga ukidhani uko salama

Shetani hana rafiki
Washughulikiwe sinaga huruma na wanasiasa,hata nyie mkishika Dola ndivyo mtawafanya so wawashughulikie kabla hayajawakuta wao 😂😂
 
Back
Top Bottom