Kula chuma hichoTutasikia mengi mpaka pale CHADEMA tutapoingia Magogoni October.
Acheni Chokochoko, UCHAGUZI UMEISHA TUJENGE CHAMA. Tunakazi Ahead ya kumtoa chura kwenye maji.Wakuu nawakumbusha tu roho mbaya haijengi, unaweza ukamwekea zengwe adui yako matokeo yake zengwe hilo likaondoka nawewe.
Tuache UNAFIKI na roho mbaya mwisho wa siku tutaishia kutia huruma kumbe tulijitakia wenyewe.
Pole sana najua inakuuma mno hii.
View: https://youtube.com/shorts/zG_n6kzkVHk?si=fVQ1042Z8ex7G3cw
Asanteni.
Acheni Chokochoko, UCHAGUZI UMEISHA TUJENGE CHAMA. Tunakazi Ahead ya kumtoa chura kwenye maji.
Umenikumbusha kelele za chura ukipita eti Ndiyo wanapiga keleleAcheni Chokochoko, UCHAGUZI UMEISHA TUJENGE CHAMA. Tunakazi Ahead ya kumtoa chura kwenye maji.
👏👏💐💐💐💐💐💐🪷🏵🪷🌺🌼🌻🌼🌷🪻⚘️Acheni Chokochoko, UCHAGUZI UMEISHA TUJENGE CHAMA. Tunakazi Ahead ya kumtoa chura kwenye maji.
Basi, yaishe, tujenge chamaWakuu nawakumbusha tu roho mbaya haijengi, unaweza ukamwekea zengwe adui yako matokeo yake zengwe hilo likaondoka nawewe.
Tuache UNAFIKI na roho mbaya mwisho wa siku tutaishia kutia huruma kumbe tulijitakia wenyewe.
Pole sana najua inakuuma mno hii.
View: https://youtube.com/shorts/zG_n6kzkVHk?si=fVQ1042Z8ex7G3cw
Asanteni.
Hahahaaa.Mwenyezi Mungu anakusudi na mtu huyu. Huwa anaupako mkubwa sana, na wala hatumii nguvu nyingi. Nahisi ni kwa tabia zake za ukweli, uwazi na kupenda haki. Ni mambo yanayompendeza sana Mungu hayo.
Tuangalie Chadema ipo wapi leo tatizo lenu hamwezi kuona processes mnaona bifu kati ya watu tu.Wakuu nawakumbusha tu roho mbaya haijengi, unaweza ukamwekea zengwe adui yako matokeo yake zengwe hilo likaondoka nawewe.
Tuache UNAFIKI na roho mbaya mwisho wa siku tutaishia kutia huruma kumbe tulijitakia wenyewe.
Pole sana najua inakuuma mno hii.
View: https://youtube.com/shorts/zG_n6kzkVHk?si=fVQ1042Z8ex7G3cw
Asanteni.
Kalipeni hela za watuWakuu nawakumbusha tu roho mbaya haijengi, unaweza ukamwekea zengwe adui yako matokeo yake zengwe hilo likaondoka nawewe.
Tuache UNAFIKI na roho mbaya mwisho wa siku tutaishia kutia huruma kumbe tulijitakia wenyewe.
Pole sana najua inakuuma mno hii.
View: https://youtube.com/shorts/zG_n6kzkVHk?si=fVQ1042Z8ex7G3cw
Asanteni.
Tutasikia mengi mpaka pale CHADEMA tutapoingia Magogoni October.
Kumbe huna hata ushahidi.
Tulia hivyo hivyo ila jiandae kisaikolojiaMagogoni😅😅
Labda useme ferry kwenda kuvua samaki😆😆😆
Tulia hivyo hivyo ila jiandae kisaikolojia
Mambo yatakuwa yamoto kabla hata ya October huko. Huko October ni icing on the cake.Tukutane hapa October
Mambo yatakuwa yamoto kabla hata ya October huko. Huko October ni icing on the cake.
Ni suala la muda, huo moto tutaowapelekea mwaka huu sio wa kitoto.Punguza majigambo
Tusubiri
Ni suala la muda, huo moto tutaowapelekea mwaka huu sio wa kitoto.