Pre GE2025 Freeman Mbowe ameamua kumwaga sumu ya ukabila mikoa ya Kaskazini

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hivi hayo matusi mnayosemaga mtu au viongozi WA CCM wanatukanwa ni yapi?😳.mbona hua sioni Mimi? au kuambiwa ukweli kwenu ni matusi?
 
Mkuu unajua makosa ya UHAINI?
 
Mbowe Yuko sawa tu, me mwenyewe nilikuwa naelekea kubadili jina Ili niwe na jina la kisukuma
Mkuu mimi nikibahatoka kuwa na watoto nitawaita majina ya kibantu tu, maana huko tuendako ni giza tu.ĝ
 
Tulishuhudia mengi chini ya jiwe tafuta ajira za ualimu kipindi Cha jiwe zile za mwisho kabisa, utaona uchafu wa jiwe pale, utaona majina ya kisukuma yalivyo jaa
Kama walikuwa wanachapa kazi hakuna shida kuwa na wasukuma wengi ....mbona samia kajaza wazenji na waislamu waovyo wasio fanya kazi bali uhuni tu na ufisadi ....sisi tunataka wazalendo siyo dini au kabila
 
Kama walikuwa wanachapa kazi hakuna shida kuwa na wasukuma wengi ....mbona samia kajaza wazenji na waislamu waovyo wasio fanya kazi bali uhuni tu na ufisadi ....sisi tunataka wazalendo siyo dini au kabila

Uko sawa
 
Mbona Mambo haya yanafahamika sana hata mwenye kibubu aliondolewa ofisini kisa Easter ni mchaga.
 
Sasa hata polisi wakimchukulia hatua na kumshitaki mahakamani anayesemwa kufanya hayo atafufuka ili aje kujitetea?

Lakini hata hivyo ushahidi wa kuwa Hayati Rais John P. Magufuli alikuwa mbaguzi na aliibagua kanda hiyo ya mikoa ya Arusha, Kilimanjaro, Manyara na Tanga na watu wake uko wazi mno na hata clip za video za hotuba zake akionesha chuki za wazi ziko kibao YouTube akiwabagua hususani watu wa Kilimanjaro (wachagga)

Unataka tukupe ushahidi huo? Utastahimili kweli na hutajifunika uso wako kwa aibu?
 
Emu tutajie mchaga mmoja aliyeonewa na Magufuli...

Na hakua na konakona ...

Tutajie na msukuma mmoja aliyependelewa na alikuwa na kona kona...

Mfano, Magufuli akishughulikia wenye vyeti feki, tutajie msukuma aliyekua na cheti feki na hakuguswa...
Chenge. Konakona sio wachaga tu. Watu kibao wanakonakona ila yeye alikuwa na vita na wachaga. Ni dhana ya washamba wengi kuwa kila mchaga ni mwizi. Ni lack of exposure na insecurities.
 
Chenge. Konakona sio wachaga tu. Watu kibao wanakonakona ila yeye alikuwa na vita na wachaga. Ni dhana ya washamba wengi kuwa kila mchaga ni mwizi. Ni lack of exposure na insecurities.

Hata wachaga wenyewe wanajijua ni wezi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…