Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Akihitimisha salamu zake za pongezi kwa ushindi wa Tundu Lissu, Mwenyekiti mpya wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe amesema sasa anaenda kupiga mzigo ili kutafuta mafekeche (fedha) na wataonana baadae.
Pia, Soma: Mbowe: Nikishindwa uchaguzi narudi kwenye biashara zangu
"Ngojeni nikapige mzigo, nitafute wanaita Mafekeche, nikatafute fedha kwasababu tukifanya biashara sawa sawa tunatengeneza uchumi, ninyi jengeni Siasa, tutaendelea kusaidiana, tutaendelea kushauriana, wote lengo letu la kuijenga demokrasia katika nchi hii haliwezi kufifishwa na uchaguzi"
Pia, Soma: Mbowe: Nikishindwa uchaguzi narudi kwenye biashara zangu
"Ngojeni nikapige mzigo, nitafute wanaita Mafekeche, nikatafute fedha kwasababu tukifanya biashara sawa sawa tunatengeneza uchumi, ninyi jengeni Siasa, tutaendelea kusaidiana, tutaendelea kushauriana, wote lengo letu la kuijenga demokrasia katika nchi hii haliwezi kufifishwa na uchaguzi"