Pre GE2025 Freeman Mbowe amesema sasa anaenda kutafuta Mafekeche akiwaaga Wajumbe Ukumbini, "ninyi jengeni Siasa"

Pre GE2025 Freeman Mbowe amesema sasa anaenda kutafuta Mafekeche akiwaaga Wajumbe Ukumbini, "ninyi jengeni Siasa"

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Akihitimisha salamu zake za pongezi kwa ushindi wa Tundu Lissu, Mwenyekiti mpya wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe amesema sasa anaenda kupiga mzigo ili kutafuta mafekeche (fedha) na wataonana baadae.

Pia, Soma: Mbowe: Nikishindwa uchaguzi narudi kwenye biashara zangu

"Ngojeni nikapige mzigo, nitafute wanaita Mafekeche, nikatafute fedha kwasababu tukifanya biashara sawa sawa tunatengeneza uchumi, ninyi jengeni Siasa, tutaendelea kusaidiana, tutaendelea kushauriana, wote lengo letu la kuijenga demokrasia katika nchi hii haliwezi kufifishwa na uchaguzi"
 
Akihitimisha salamu zake za pongezi kwa ushindi wa Tundu Lissu, Mwenyekiti mpya wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe amesema sasa anaenda kupiga mzigo ili kutafuta mafekeche (fedha) na wataonana baadae.

Pia, Soma: Mbowe: Nikishindwa uchaguzi narudi kwenye biashara zangu

"Ngojeni nikapige mzigo, nitafute wanaita Mafekeche, nikatafute fedha kwasababu tukifanya biashara sawa sawa tunatengeneza uchumi, ninyi jengeni Siasa, tutaendelea kusaidiana, tutaendelea kushauriana, wotw lengo letu la kuijenga demokrasia katika nchi hii haliwezi kufifishwa na uchaguzi"
Hongera sana Mbowe na Lissu!
 
Akihitimisha salamu zake za pongezi kwa ushindi wa Tundu Lissu, Mwenyekiti mpya wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe amesema sasa anaenda kupiga mzigo ili kutafuta mafekeche (fedha) na wataonana baadae.

Pia, Soma: Mbowe: Nikishindwa uchaguzi narudi kwenye biashara zangu

"Ngojeni nikapige mzigo, nitafute wanaita Mafekeche, nikatafute fedha kwasababu tukifanya biashara sawa sawa tunatengeneza uchumi, ninyi jengeni Siasa, tutaendelea kusaidiana, tutaendelea kushauriana, wotw lengo letu la kuijenga demokrasia katika nchi hii haliwezi kufifishwa na uchaguzi"
Sisiem or act wazalendo anaenda
 
Akihitimisha salamu zake za pongezi kwa ushindi wa Tundu Lissu, Mwenyekiti mpya wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe amesema sasa anaenda kupiga mzigo ili kutafuta mafekeche (fedha) na wataonana baadae.

Pia, Soma: Mbowe: Nikishindwa uchaguzi narudi kwenye biashara zangu

"Ngojeni nikapige mzigo, nitafute wanaita Mafekeche, nikatafute fedha kwasababu tukifanya biashara sawa sawa tunatengeneza uchumi, ninyi jengeni Siasa, tutaendelea kusaidiana, tutaendelea kushauriana, wotw lengo letu la kuijenga demokrasia katika nchi hii haliwezi kufifishwa na uchaguzi"
Kwani ni lini aliacha kutafuta mafekeche? Kosa alilotaka kuendelea nalo ni kuyatumia hayo mafekeche kunyanyasa viongozi wenzake!
 
Hekima anayo ILA sio sana kama unavyosema. Angekuwa na hekima sana asingepambania kushinda hadi mwisho, pressure ya wapenda mageuzi ilikuwa kubwa sana kuweza kusoma alama za nyakati, asingetuhusu mtifuano na majeraha ya uchaguzi, angejitoa hata siku ya uchaguzi.

Vv
Unajua kwa kukomaa mpaka kwenye sanduku la kura kumeisaidiaje chadema kujitangaza
 
Kila la heri Tundu Lissu. Sasa utulize kichwa utafute hela, uendeshe chama. Ndio unaachiwa mzigo hivyo.

Na Mbowe alifanya vizuri sana kununua kabisa jengo la ofisi ya chama. Hawa wangekuta hela kwenye akaunti wangesumbua sana.
 
Back
Top Bottom