Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Akapumzike sasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
The world of poker is so cruel 🤣Mzigo wa Abdul umeshamaliza kazi yake mkeka unasoma "BET LOST"
Kauli hii ya kujifariji imejaa maumivu na majuto makubwa Kwa sababu Haina msingi Wala haikuwa na maana yeyote kuisema.Akihitimisha salamu zake za pongezi kwa ushindi wa Tundu Lissu, Mwenyekiti mpya wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe amesema sasa anaenda kupiga mzigo ili kutafuta mafekeche (fedha) na wataonana baadae.
Pia, Soma: Mbowe: Nikishindwa uchaguzi narudi kwenye biashara zangu
"Ngojeni nikapige mzigo, nitafute wanaita Mafekeche, nikatafute fedha kwasababu tukifanya biashara sawa sawa tunatengeneza uchumi, ninyi jengeni Siasa, tutaendelea kusaidiana, tutaendelea kushauriana, wotw lengo letu la kuijenga demokrasia katika nchi hii haliwezi kufifishwa na uchaguzi"
Kwani alikwambia anataka kung'atuka?Bado ni fedheha kwa kukatiliwa kwenye box la kura, angengatuka bila haya angebaki kukumbukwa zaidi.
Kwani huko kwenu hunywi pombe na nyama choma? Au unasubiri mpaka mwenyekiti wa chama akutafutie hata pesa ya pombe na nyama choma?Bila Mwamba tutatoa wapi pesa za pombe na nyama choma😕
... you could be right but, believe me, now CHADEMA is EYELESS!The boss lady has just lost a whooping 10 Billion worth of political investment within a night. She just lost a big rat 😁
... you could be right but, believe me, now CHADEMA is EYELESS!
Hili ni dongoAkihitimisha salamu zake za pongezi kwa ushindi wa Tundu Lissu, Mwenyekiti mpya wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe amesema sasa anaenda kupiga mzigo ili kutafuta mafekeche (fedha) na wataonana baadae.
Pia, Soma: Mbowe: Nikishindwa uchaguzi narudi kwenye biashara zangu
"Ngojeni nikapige mzigo, nitafute wanaita Mafekeche, nikatafute fedha kwasababu tukifanya biashara sawa sawa tunatengeneza uchumi, ninyi jengeni Siasa, tutaendelea kusaidiana, tutaendelea kushauriana, wotw lengo letu la kuijenga demokrasia katika nchi hii haliwezi kufifishwa na uchaguzi"
... the only way CHADEMA can restore her eyesight is by wining bigly in the coming elections! ... otherwise it's gonna be, not only blind, but DEAF as well!All these shenanigans were rooted out of The Boss Lady's fears, that CHADEMA will turn into a cannon fodder of MANANASI GANG, who will turn it into a political launch-pad for scathing attacks against her Presidency. You wait and see 🤣🤣🤣
Watu ni mtaji wa kwanza. Pesa haijawahi kukosekana ipo tuBila Mwamba tutatoa wapi pesa za pombe na nyama choma😕
Ila kangatuliwa tayariKwani alikwambia anataka kung'atuka?
Haujui unalosema kaaa kimyaaaHekima anayo ILA sio sana kama unavyosema. Angekuwa na hekima sana asingepambania kushinda hadi mwisho, pressure ya wapenda mageuzi ilikuwa kubwa sana kuweza kusoma alama za nyakati, asingetuhusu mtifuano na majeraha ya uchaguzi, angejitoa hata siku ya uchaguzi.
Vv
Sasa unaongea kama CCM. Kila mtu anakubali fikra sahihi za kiongozi wetu kipenzi! Na asiyemkubali ana matatizo yake binafsi! Huu si ndio mwanzo wa uchawa? Kazi ya Our Dear Leader Lissu haina makosa. Mnataka CDM iwe cult na sio chama. The future is frightening.Hawakumkataa,Dhahiri wanamkubali sana Lissu,Sema walilewa kwa Hongo za XChair.Lakini naamini kabisa wanachama na viongozi hata hao akina Boni yai wanajua shughuli ya Lissu.
Akapige muziki pale BillcanasAkihitimisha salamu zake za pongezi kwa ushindi wa Tundu Lissu, Mwenyekiti mpya wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe amesema sasa anaenda kupiga mzigo ili kutafuta mafekeche (fedha) na wataonana baadae.
Pia, Soma: Mbowe: Nikishindwa uchaguzi narudi kwenye biashara zangu
"Ngojeni nikapige mzigo, nitafute wanaita Mafekeche, nikatafute fedha kwasababu tukifanya biashara sawa sawa tunatengeneza uchumi, ninyi jengeni Siasa, tutaendelea kusaidiana, tutaendelea kushauriana, wotw lengo letu la kuijenga demokrasia katika nchi hii haliwezi kufifishwa na uchaguzi"
Bila mchango wake mkutano usingefanyika. Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.Kauli hii ya kujifariji imejaa maumivu na majuto makubwa Kwa sababu Haina msingi Wala haikuwa na maana yeyote kuisema.
Kwamba amewaona hao Jamaa hawana pesa Hadi aseme eti tutasaidiana 😂😂
Angeondoka kwa heshima sana, kama angemuachia TL ... Kuliko sanduku la kula kuamuaBado ni fedheha kwa kukatiliwa kwenye box la kura, angengatuka bila haya angebaki kukumbukwa zaidi.