Mpalakugenda
JF-Expert Member
- Jun 2, 2015
- 4,611
- 5,009
Demokrasia haijengwi hivyo. Mbona hamtaki kuiachia ccm miaka yote mnagombea na hamshindi.Hekima anayo ILA sio sana kama unavyosema. Angekuwa na hekima sana asingepambania kushinda hadi mwisho, pressure ya wapenda mageuzi ilikuwa kubwa sana kuweza kusoma alama za nyakati, asingetuhusu mtifuano na majeraha ya uchaguzi, angejitoa hata siku ya uchaguzi.
Vv
Demokrasia lazima iamue, huo ndio ustaarabu wake. Kuachiana na kujitoa ni udhaifu labda kwenye mifumo ya kifalme.