Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asilimia 47 walimkataa Lissu. Kumbukeni hilo na muwe na adabu.Hekima anayo ILA sio sana kama unavyosema. Angekuwa na hekima sana asingepambania kushinda hadi mwisho, pressure ya wapenda mageuzi ilikuwa kubwa sana kuweza kusoma alama za nyakati, asingetuhusu mtifuano na majeraha ya uchaguzi, angejitoa hata siku ya uchaguzi.
Vv
Hapana ni vizuri maana kafanya wananchi tuwe na Imani zaidi na LisuBado ni fedheha kwa kukatiliwa kwenye box la kura, angengatuka bila haya angebaki kukumbukwa zaidi.
Mara paap, Freeman Aikaile Mbowe kahamia ccm.Akihitimisha salamu zake za pongezi kwa ushindi wa Tundu Lissu, Mwenyekiti mpya wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe amesema sasa anaenda kupiga mzigo ili kutafuta mafekeche (fedha) na wataonana baadae.
Pia, Soma: Mbowe: Nikishindwa uchaguzi narudi kwenye biashara zangu
"Ngojeni nikapige mzigo, nitafute wanaita Mafekeche, nikatafute fedha kwasababu tukifanya biashara sawa sawa tunatengeneza uchumi, ninyi jengeni Siasa, tutaendelea kusaidiana, tutaendelea kushauriana, wotw lengo letu la kuijenga demokrasia katika nchi hii haliwezi kufifishwa na uchaguzi"
Ana hoteli kule machame na biashara zingine ziko dubaiKwani huyu mzee anafanya biashara gani?
hili hakujua kuwa atashindwaHapana ni vizuri maana kafanya wananchi tuwe na Imani zaidi na Lisu
Ni uchaguzi na Lisu ilikuwa ni lazima akutane na upinzani mkali ili awe imarahili hakujua kuwa atashindwa
Kumbe!!Ana hoteli kule machame na biashara zingine ziko dubai
Ngojeni nikapige mzigo, nitafute wanaita Mafekeche, nikatafute fedha kwasababu tukifanya biashara sawa sawa tunatengeneza uchumi, ninyi jengeni Siasa, tutaendelea kusaidiana, tutaendelea kushauriana, wote lengo letu la kuijenga demokrasia katika nchi hii haliwezi kufifishwa na uchaguzi"💪🏿👌🏿🙏🏿💗❤💗❤💗Akihitimisha salamu zake za pongezi kwa ushindi wa Tundu Lissu, Mwenyekiti mpya wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe amesema sasa anaenda kupiga mzigo ili kutafuta mafekeche (fedha) na wataonana baadae.
Pia, Soma: Mbowe: Nikishindwa uchaguzi narudi kwenye biashara zangu
"Ngojeni nikapige mzigo, nitafute wanaita Mafekeche, nikatafute fedha kwasababu tukifanya biashara sawa sawa tunatengeneza uchumi, ninyi jengeni Siasa, tutaendelea kusaidiana, tutaendelea kushauriana, wotw lengo letu la kuijenga demokrasia katika nchi hii haliwezi kufifishwa na uchaguzi"
Hekima ni matendo siyo maneno. Angekuwa nayo asingegombea awamu hii.Huyu jamaa ana hekima sana.
Hekima anayo ILA sio sana kama unavyosema. Angekuwa na hekima sana asingepambania kushinda hadi mwisho, pressure ya wapenda mageuzi ilikuwa kubwa sana kuweza kusoma alama za nyakati, asingetuhusu mtifuano na majeraha ya uchaguzi, angejitoa hata siku ya uchaguz
Hawakumkataa,Dhahiri wanamkubali sana Lissu,Sema walilewa kwa Hongo za XChair.Lakini naamini kabisa wanachama na viongozi hata hao akina Boni yai wanajua shughuli ya Lissu.Asilimia 47 walimkataa Lissu. Kumbukeni hilo na muwe na adabu.
Amandla...
CHADEMA has just lost it's EYES!
😅
Eti mkuu ni muhimu tunywe, yule na MAISHA yaendeleeBila Mwamba tutatoa wapi pesa za pombe na nyama choma😕
Mzigo wa Abdul umeshamaliza kazi yake mkeka unasoma "BET LOST"The boss lady has just lost 10 Billion worth of political investment within a night. She just lost a rat. 😁