Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Hekima anayo ILA sio sana kama unavyosema. Angekuwa na hekima sana asingepambania kushinda hadi mwisho, pressure ya wapenda mageuzi ilikuwa kubwa sana kuweza kusoma alama za nyakati, asingetuhusu mtifuano na majeraha ya uchaguzi, angejitoa hata siku ya uchaguzi.Huyu jamaa ana hekima sana.
Hongera sana Mbowe na Lissu!Akihitimisha salamu zake za pongezi kwa ushindi wa Tundu Lissu, Mwenyekiti mpya wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe amesema sasa anaenda kupiga mzigo ili kutafuta mafekeche (fedha) na wataonana baadae.
Pia, Soma: Mbowe: Nikishindwa uchaguzi narudi kwenye biashara zangu
"Ngojeni nikapige mzigo, nitafute wanaita Mafekeche, nikatafute fedha kwasababu tukifanya biashara sawa sawa tunatengeneza uchumi, ninyi jengeni Siasa, tutaendelea kusaidiana, tutaendelea kushauriana, wotw lengo letu la kuijenga demokrasia katika nchi hii haliwezi kufifishwa na uchaguzi"
Sisiem or act wazalendo anaendaAkihitimisha salamu zake za pongezi kwa ushindi wa Tundu Lissu, Mwenyekiti mpya wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe amesema sasa anaenda kupiga mzigo ili kutafuta mafekeche (fedha) na wataonana baadae.
Pia, Soma: Mbowe: Nikishindwa uchaguzi narudi kwenye biashara zangu
"Ngojeni nikapige mzigo, nitafute wanaita Mafekeche, nikatafute fedha kwasababu tukifanya biashara sawa sawa tunatengeneza uchumi, ninyi jengeni Siasa, tutaendelea kusaidiana, tutaendelea kushauriana, wotw lengo letu la kuijenga demokrasia katika nchi hii haliwezi kufifishwa na uchaguzi"
Kwani ni lini aliacha kutafuta mafekeche? Kosa alilotaka kuendelea nalo ni kuyatumia hayo mafekeche kunyanyasa viongozi wenzake!Akihitimisha salamu zake za pongezi kwa ushindi wa Tundu Lissu, Mwenyekiti mpya wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe amesema sasa anaenda kupiga mzigo ili kutafuta mafekeche (fedha) na wataonana baadae.
Pia, Soma: Mbowe: Nikishindwa uchaguzi narudi kwenye biashara zangu
"Ngojeni nikapige mzigo, nitafute wanaita Mafekeche, nikatafute fedha kwasababu tukifanya biashara sawa sawa tunatengeneza uchumi, ninyi jengeni Siasa, tutaendelea kusaidiana, tutaendelea kushauriana, wotw lengo letu la kuijenga demokrasia katika nchi hii haliwezi kufifishwa na uchaguzi"
Unajua kwa kukomaa mpaka kwenye sanduku la kura kumeisaidiaje chadema kujitangazaHekima anayo ILA sio sana kama unavyosema. Angekuwa na hekima sana asingepambania kushinda hadi mwisho, pressure ya wapenda mageuzi ilikuwa kubwa sana kuweza kusoma alama za nyakati, asingetuhusu mtifuano na majeraha ya uchaguzi, angejitoa hata siku ya uchaguzi.
Vv
Hakuna fedheha kwenye kukataliwa, hata Tumbo la mama yako lilikukataa akapata uchungu ukazaliwa. Fedheha ni ukikataa kukataliwa.Bado ni fedheha kwa kukatiliwa kwenye box la kura, angengatuka bila haya angebaki kukumbukwa zaidi.
ana uchungu moyoni ila hawezi kusema,sasa tusubiri matendo yakeHuyu jamaa ana hekima sana.