Pre GE2025 Freeman Mbowe amesema sasa anaenda kutafuta Mafekeche akiwaaga Wajumbe Ukumbini, "ninyi jengeni Siasa"

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Not far from the truth. Lissu might have won the war, but lose the peace. To resuscitate CHADEMA, Lissu must win both War and Peace. And owing to his erratic and zero-sum behavior, he should earnestly pray to GOD for the wisdom of Solomon.

The party is headed towards murky waters, and Lissu must surround himself with a benevolent company. People who can boldy call out his madness.​
 
Pole sana mkuu 💪
 
madness?
 
Hekima ni matendo siyo maneno. Angekuwa nayo asingegombea awamu hii.
Unaelewa faida ya kuwepo na uchaguzi wa namna hii?
Angekuwa hana hekima angeng'ang'ania madaraka.
Mngemfanya nini?
All in all, huu uchaguzi FAM&TAL walijua wanachokifanya.
 
ana uchungu moyoni ila hawezi kusema,sasa tusubiri matendo yake
Ni mapema kusema hayo.
Matendo yake yatategemea na namna mtakavyo mtreat.
Mkimtreat vibaya, atajikalia pembeni tu kuepusha kelele.
Uzuri ana pesa, mwenye pesa siyo mwenzako.
 
KAZI NI KIPIMO CHA UTU

no more talks about elections.......
 
chadema needed to change its political strategy, not financialy. The political approach they had was no longer working, they needed aggresive approach, there was one guy capable of doing that (LISSU)

No offence for chaga leadership,they didna good job but they are not needed anymore.

New generation needs new leadership and new approach
 

Family yake ilisha mshauri hivyo, marafiki zake walisha mshauri hivyo huu ni umri wa kutulia, kufuatilia biashara zake nyingi tu na kushauri. Ametengeneza vijana ni wakati wao sasa
 
Unaelewa faida ya kuwepo na uchaguzi wa namna hii?
Angekuwa hana hekima angeng'ang'ania madaraka.
Mngemfanya nini?
All in all, huu uchaguzi FAM&TAL walijua wanachokifanya.
FAM hakujua anachokifanya.
Angelitambua mapema, angejua kuwa kupambana na wakati kutamharibia kuliko kumjenga.
Pale alipo hata akigombea ubunge kutoboa ni ngumu.
Huu uchaguzi umemchafua na kufanya asinadike.
 
Kafanya alipoweza
" Endelezeni mazuri yake,
  • Msameheni alipowakwaza,
  • Jengeni chama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…