Mpalakugenda
JF-Expert Member
- Jun 2, 2015
- 4,611
- 5,009
Demokrasia haijengwi hivyo. Mbona hamtaki kuiachia ccm miaka yote mnagombea na hamshindi.Hekima anayo ILA sio sana kama unavyosema. Angekuwa na hekima sana asingepambania kushinda hadi mwisho, pressure ya wapenda mageuzi ilikuwa kubwa sana kuweza kusoma alama za nyakati, asingetuhusu mtifuano na majeraha ya uchaguzi, angejitoa hata siku ya uchaguzi.
Vv
Ni fikra zako tu hizoFAM hakujua anachokifanya.
Angelitambua mapema, angejua kuwa kupambana na wakati kutamharibia kuliko kumjenga.
Pale alipo hata akigombea ubunge kutoboa ni ngumu.
Huu uchaguzi umemchafua na kufanya asinadike.
Kungangania na kutosikiliza ushauri wa kungatuka kujivunjia heshima zaidi.Kushindwa uchaguzi na kukubali matokeo ni heshima zaidi.
Wewe na yeye mnafanana kwa sababu ni wazito kusoma alama za nyakati.Ni fikra zako tu hizo
Sawa maskini wa fikraWewe na yeye mnafanana kwa sababu ni wazito kusoma alama za nyakati.
Hawezi kusakata rumba kama wewe ukiwa huko kijijin kwenu mbowe yupo vizur kiuchumiNatamani nimuone Mbowe anasakata rumba.
Hawezi kusakata rumba kama wewe ukiwa huko kijijin kwenu mbowe yupo vizur kiuchumiNatamani nimuone Mbowe anasakata rumba.
Wewe ni hawinde.Sawa maskini wa fikra
PopomaWewe ni hawinde.
EeehJamani jamani !Bila Mwamba tutatoa wapi pesa za pombe na nyama choma😕
NZURI imejaa hekima na ukomavu, Hongera.Hotuba nzuri kabisa kutoka kwa Mbowe.
Looh, Mafekeche na mwamba ni pia na mdomo.Kwani ni lini aliacha kutafuta mafekeche? Kosa alilotaka kuendelea nalo ni kuyatumia hayo mafekeche kunyanyasa viongozi wenzake!
Kama kushindwa uchaguzi ni fedheha, basi kitu peke cha kuepusha fedheha ni kufanya uteuzi, maana angeshinda Mbowe, bado ungeona Lissu amepata fedheha. Tuwapongeze basi CCM Kwa kukwepesha na kuamua kupeleka kina mojaBado ni fedheha kwa kukatiliwa kwenye box la kura, angengatuka bila haya angebaki kukumbukwa zaidi.