Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #21
kuna wajumbe walikuwa huru kupiga kura na kuna wale waliopiga kura chini ya mtutu wa bundukiMwenyekiti MAGUFULI Yuko juu juu MAWINGUNI...wajumbe wootee wa CCM walimpa za NDIOOO.....
Magufuli 100%
Freeman 99%
CCM waendelee kusubiri hadi kiama
Hakuna mwanaccm wa kumshinda Mbowe HaiAnawakati mgumu kutetea kiti chake. Nadhani wanaHai wananoelewa. Angebaki kuwa mwenyekiti aimarishe chama chake.
Anyway, tukutane oktoba
Eeee RBC wee uMRONGO Kama tumba mbichi.kuna wajumbe walikuwa huru kupiga kura na kuna wale waliopiga kura chini ya mtutu wa bunduki
Kwanini? Amefanya nini huko Hai?Hakuna mwanaccm wa kumshinda Mbowe Hai
Hiyo 1% aliyokosa itakuwa ni mapandikizi ya maccm 😜
kikubwa ni kuondoa utumwa wa fikraKwanini? Amefanya nini huko Hai?
Nyie ndo huwa mnasema kuchaguliwa kwa 100% ni udikteta sasa leo mnafulahia 99% na bado mnaona alitakiwa kufika 100%?
Yaani akiri zenu ni sawa na tiara inavyorushwa na upepo.
Hamueleweki.
Umensuuza roho yangu 😂😂😂Nyie ndo huwa mnasema kuchaguliwa kwa 100% ni udikteta sasa leo mnafulahia 99% na bado mnaona alitakiwa kufika 100%?
Yaani akiri zenu ni sawa na tiara inavyorushwa na upepo.
Hamueleweki.
😜😜😇😇Ndiyo ni udikteta kama uchaguzi si HURU na wa HAKI.
Mbunge wa milele wa jimbo la Hai Mh Freeman Mbowe ( Mwamba Tuvushe ) , leo tena amepitishwa na wajumbe wa Chadema wa mkutano mkuu wa jimbo hilo ili kugombea tena Jimbo hilo
View attachment 1516652View attachment 1516653View attachment 1516654
Amefanya vyema sana kuachana na kinyang'anyiro cha Urais. Kila la kheri kwake.
safi sana, huyu mwamba aminia!
SwadaktaMkuu mh Mbowe kuchukua form ile na kutoirudisha haikuwa bahati mbaya bali ni moja ya mikakati
Hiyo 1% aliyokosa itakuwa ni mapandikizi ya maccm [emoji12]
Sijakuelewa hapo, hiyo milele unamaanisha nini?
Sis tunataka tu kusikia Antipas Tundu Lisu anagombea urais kupitia Chadema na kutangazwa mshindi wa urais mwezi wa kumi, kinyume na hapo tusilaumiane.
CCM waendelee kusubiri hadi kiama
ana maana ya hakuna mpinzani, masisiemu yanalitamani sana hilo jimbo lakini miaka yote yameshindwa