SI KWELI Freeman Mbowe asitisha maandamano yaliyokuwa yafanyike Septemba 23

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe ametangaza kuahirisha maandamano yaliyopangwa kuanza tarehe 23/9/2024 mbele ya waandishi wa habari katika mkutano wa TDC ili kupisha mazungumzo yatakayofanyika baina ya viongozi wa dini na Rais Samia.
Yaleyale ya UKUTA, waliahirisha ili viongozi wa Dini wakaongee na Magu.
Hao viongozi w dini na wenyewe ni sehemu ya makundi ya kijamii wana ya kwao. Hawapaswi kuangaliwa au kuchukuliwa kama mediators kati ya makundi mengine na serikali.
 
Nasema kila siku kizazi cha kuhitaji mabadiliko bado sanaaa lazima kizazi chetu cha Uwoga na Unafiki kitoweke Duniani kabisa.
Sahihi kabisa, yaani waliona 10yrs+ wote wafe leo hii, hawa walio chini wakikua huenda kukawa na jambo la kueleweka. Nchi hii shida sana.
 
kuna wakati unaweza kuwasikiliza hawa wanachadema unabaki kujiuliza hivi hawa watu chupa zina pooza au ni kitu gani
njaaa zinawauma we fikiria miaka yote walikuwa na ofisi kwenye nyumba ya mtu na hawaogopi juzi wameingia mikocheni makazi mapya naona wamekumbuka uswahilini kwao
 
Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe ametangaza kuahirisha maandamano yaliyopangwa kuanza tarehe 23/9/2024 mbele ya waandishi wa habari katika mkutano wa TDC ili kupisha mazungumzo yatakayofanyika baina ya viongozi wa dini na Rais Samia.
Jambo jema.
 
Sahihi kabisa, yaani waliona 10yrs+ wote wafe leo hii, hawa walio chini wakikua huenda kukawa na jambo la kueleweka. Nchi hii shida sana.
Ukweli ni kwamba hata kama Mbowe na wafuasi wang’e andamana bado kusingetokea mabadiliko yoyote.
 
Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe ametangaza kuahirisha maandamano yaliyopangwa kuanza tarehe 23/9/2024 mbele ya waandishi wa habari katika mkutano wa TDC ili kupisha mazungumzo yatakayofanyika baina ya viongozi wa dini na Rais Samia.
Hapo dj anaposhindwa kucheza na bit anatukata mood
 
Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe ametangaza kuahirisha maandamano yaliyopangwa kuanza tarehe 23/9/2024 mbele ya waandishi wa habari katika mkutano wa TDC ili kupisha mazungumzo yatakayofanyika baina ya viongozi wa dini na Rais Samia.
Nilipomsoma Mnyika asubuhi alivyobadili chorus kutoka maandamano kuwa uchaguzi, nikajuwa kwisha kazi yao hao.

Ni vema wameelewa kuwa moto wake si mchezo.

Vyovyote vile, hao watazamwe kwa ukaribu mno. Boniface kayatapika yote huko alipo.
 
Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe ametangaza kuahirisha maandamano yaliyopangwa kuanza tarehe 23/9/2024 mbele ya waandishi wa habari katika mkutano wa TDC ili kupisha mazungumzo yatakayofanyika baina ya viongozi wa dini na Rais Samia.
Pumbaf
 
Nilipomsoma Mnyika asubuhi alivyobadili chorus kutoka maandamano kuwa uchaguzi, nikajuwa kwisha kazi yao hao.

Ni vema wameelewa kuwa moto wake si mchezo.

Vyovyote vile, hao watazamwe kwa ukaribu mno. Boniface kayatapika yote huko alipo.
Akili zako ww bibi unazijuwa mwenyewe.
Mental retardation
 
Hapo ujue imeingia Bil 5 akaambiwa tulia mwenyekiti

ipo siku wengi wataelewa hili

Hakuna Upinzani halisi Tanzania

Upinzani aliondoka nao Mch. Christopher Mtikila

Bilioni Tano ulilipa wewe?. Huyo Mtikila alipokuwepo mlisema hivi hivi.
 
Nampongeza sana Mr. Chairman Mbowe.

Anavyozidi kuzeeka naona busara nayo inaongezeka.

Safi sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…