Lutandagula
JF-Expert Member
- Apr 8, 2018
- 1,762
- 2,154
Naona leo DJ,alikuwa kwenye stage kuburudisha wafuasi wa Chama chake,Yetu macho,walishapima kina cha maji wakakiona kinawawezesha kuvuka
Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
Shubaamit zake watanzania gani waliomtuma kuwasemea?
Ni wakati mmoja tu Watanzania wanaweza kuwatuma watu kuwasemea juu ya Katiba - linapoundwa Bunge la KatibaShubaamit zake watanzania gani waliomtuma kuwasemea?
Mkuu hapo ndipo hawa walinda usalama ninapo washanga!! Watu wapo kwenye kongamano, wajadili mustakabali wa maisha yao kwa kupitia KATIBA MPYA wewe unatimua tena kwa silaha za moto!!Nchi ya kipuuzi sana....wananchi wake wanajadili katiba yao polisi wanawakamata shubaamit
Acha matusi. leta hoja pingamizi sio matusi. Umekosa hoja.mleta mada yaani unavyomsifia mbowe atakuwa kishakulamba nyuma siyo bure
Utakuwa unalambwa sana msambarabwanda wewe kwa uwandishi wako tu inajionyesha...Tayari ufunguzi longitaimmleta mada yaani unavyomsifia mbowe atakuwa kishakulamba nyuma siyo bure
Mwanaume anayemshabikia mwanaume mwenzie kama wewe na huyo aliyeandika uzi ni lazima awe ameshaliwa tu huwezi mshabikia mwanaume hivyo akuacha salamaUtakuwa unalambwa sana msambarabwanda wewe kwa uwandishi wako tu inajionyesha...Tayari ufunguzi longitaim
Anza kumwambia mdude kwanz ahumo chamani kwenuAcha matusi. leta hoja pingamizi sio matusi. Umekosa hoja.
🤣🤣Yaani mh.Mbowe unamfananisha na mtemi ISIKE ?!! duuh watake radhi WANYAMWEZI.....Mwamba mwenyewe Freeman Mbowe , Mtemi Isike ama Aboubakar Mbowe kama anavyofahamika huko Zanzibar , akiongea na Waandishi wa Habari Jijini Mwanza , ametangaza kuendelea kufanyika Makongamano ya ndani na ya amani ya Katiba mpya nchi nzima , huku lile la Mwanza lililohujumiwa likipangwa kukamilishwa wiki hii .
Akiongea kwa kujiamini na kwa msisitizo mkubwa huku akiwa kavaa kofia maarufu ya ukombozi , Laingwanan Mbowe kama anavyofahamika huko kwa Wamasai , amesema kwamba ikiwa kufanya makongamano ya ndani ya Kudai Katiba mpya ni uvunjifu wa katiba basi waanze kumkamata yeye leo hii .
View attachment 1859633
🤣🤣Aboboubar Mbowe anajidanganya tu....Kauli hizi ambazo ni kwa mujibu wa sheria na katiba iliyopo, ndizo ambazo huwa tutaelewana:
View attachment 1859710
Aboubakar Mbowe hautakuwa peke yako. Wakitaka waibadili Kirumba stadium kuwa "a make shift" gereza.
Hii nchi ni yetu sote. Tufuate sheria na katiba. Hayupo mwenye kutaka shari.
Pole pole tutafika tu.
🤣🤣Hana lolote huyo....Mbowe is the best, anajua wakati gani atumie hekima hata kama wengi watamuona muoga, na wakati gani atumie nguvu, huyu chairman namuelewa sana.
Huwa mnalambwa naye itakuwamleta mada yaani unavyomsifia mbowe atakuwa kishakulamba nyuma siyo bure