Freeman Mbowe atangaza kufanya Makongamano ya Katiba mpya nchi nzima, la Mwanza kufanyika wiki hii

Freeman Mbowe atangaza kufanya Makongamano ya Katiba mpya nchi nzima, la Mwanza kufanyika wiki hii

Chadema tuhurumieni wafuasi wenu kwa kweli.

Punde tu mama ametoka kutufikiria punguzo la tozo za kizalendo ghafla Mbowe anawaambia polisi atafanya mikutano nchi nzima wakitaka wamkamate.

Yaani mwenyekiti wa Chadema anatangaza kuvunja sheria hadharani kisha siye na akina Mrangi tutaombwa michango ya wakili wa kumtetea.

Ufipa acheni hizo bhana.

Nawasalimu kwa jina la JMT!
Hivi kumbe jamaa kichwa yako imejaa mavi eeh yan kufanya mikutano ni kuvunja sheria je unaweza kutuambia sheria ipi hiyo inavunjwa kwa mujibu wa katiba
FB_IMG_16267003604058958-1.jpg
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Mh.Mbowe na wenzake wana hulka kama wale wanaoandamana kule AFRIKA YA KUSINI....

Kinachoshangaza hatuwaoni watoto wake katika makongamano na maandamano wanayoitisha kila uchao....🤣
 
Mbowe hahamasishi wafuasi wake kuvaa barakoa hivyo ni sehemu ya Tatizo, nadhami mama apige marufuku ya mikutano ya kisiasa kwani ni chanzo cha kusambaza Corona
 
John wakatimwingine itumie vyema akili yako ili ikupe manufaa zaidi
John Yuko sahihi.....washauri Bavicha wazitumie vyema akili zao....umeusikia ushauri wa mbunge wao wa viti maalum mh.Conchester Rwamlaza?!!!
 
Mbowe hahamasishi wafuasi wake kuvaa barakoa hivyo ni sehemu ya Tatizo, nadhami mama apige marufuku ya mikutano ya kisiasa kwani ni chanzo cha kusambaza Corona
Huwa nyie simnasema hamtishiki na kakorona?au sio nyie
 
John Yuko sahihi.....washauri Bavicha wazitumie vyema akili zao....umeusikia ushauri wa mbunge wao wa viti maalum mh.Conchester Rwamlaza?!!!
Usahihi wake uko wapi,ama matumizi mabaya ya akili.
 
Chadema tuhurumieni wafuasi wenu kwa kweli.

Punde tu mama ametoka kutufikiria punguzo la tozo za kizalendo ghafla Mbowe anawaambia polisi atafanya mikutano nchi nzima wakitaka wamkamate.

Yaani mwenyekiti wa Chadema anatangaza kuvunja sheria hadharani kisha siye na akina Mrangi tutaombwa michango ya wakili wa kumtetea.

Ufipa acheni hizo bhana.

Nawasalimu kwa jina la JMT!
Hulazimishwi kuchanga tunaojua halo zetu tutamchangia siyo lazima kupata mchango toka kwako
 
Mbowe ni mwenzetu huyo hatuna tatizo nae kwa sababu anaturahisishia kazi ya kuwajua wapinzani wa kweli na wasiokuwa wa kweli. Sema watakaounga tela eti wanamuunga mkono mwenyekiti ndo itakula kwao, maana imeandikwa kila mchuma janga hula na wa kwao. Kumbuka wakati wa kuanzisha vyama vingi kulikuwa na makubaliano maalum kati ya watu wa vitengo na wenyeviti wa vyama vinavyoitwa vya upinzani. Kwahiyo kwa mwenye akili tayar ashajua Mbowe ni mtu wa aina gani ndan ya chama, ukijumlisha na kilichotokea mwaka 2015 kuwaleta Lowasa na Sumaye ndan ya chama ili kuvuruga ndoto za wapinzani wa kweli kushika dola.
 
Chadema tuhurumieni wafuasi wenu kwa kweli.

Punde tu mama ametoka kutufikiria punguzo la tozo za kizalendo ghafla Mbowe anawaambia polisi atafanya mikutano nchi nzima wakitaka wamkamate.

Yaani mwenyekiti wa Chadema anatangaza kuvunja sheria hadharani kisha siye na akina Mrangi tutaombwa michango ya wakili wa kumtetea.

Ufipa acheni hizo bhana.

Nawasalimu kwa jina la JMT!
Itaje hiyo sheria we mnyaturu
 
Mkuu hoja zetu ni zilezile:

1)Serikali 2 ndio UTULIVU wa hivi ilivyo Tanzania(wale wanasiasa wa G55 wangetupeleka siko).

2)Katiba hata iwe nzuri kiwango cha kusifiwa na malaika....wanasiasa wanabaki kuwa ni kundi lisiloridhika(kuridhika kwao ni kuwepo madarakani tu).Hapa wapiga nzumari za katiba mpya ni haohao wanasiasa tu....tena KUNDI LA UPINZANI!!!

3)Afrika ya kusini ina katiba inayoweza mpaka kumshtaki RAIS...Ila bado haikuzuia VURUGU na MACHAFUKO YA KIJINGA baada ya Rais mstaafu kushtakiwa.

4)Ukipunguza NGUVU ZA MADARAKA ZA RAIS umeyatafuta matatizo kwetu WAAFRIKA.....kupinduana na Kusababisha kukosekana UTULIVU wa nchi kutakuwa kila uchao.Hilo pia limeonekana kule HAITI....katiba yao haimpi Rais wao hayo MADARAKA MAKUBWA.....

Uko nje ya mada mkuu.

Ulichoandika hapo ni katiba unayoitaka wewe. Wengine nao wanataka tofauti.
Kwenye hali kama hii kiungwana:

"Utaratibu huwa mazungumzo, maridhiano na kura ya maoni huamua kwa kutoa ridhaa."

Tulipo ni kwenye kutaka mchakato wa katiba kuanzishwa kwa sababu kuna wanaoona kuna mapungufu ya msingi.

Kwanini nyinyi kuinyanyapaa hatua hii? Kwani kama hatua hii hamuitaki basi haiwahusu. Yanini basi kuishadaddia hivi?

Kwani inawawasha vipi basi hali haiwahusu?

Bwana Jumbe Brown mwongozo wako tafadhali.
 
Mbowe atiwe nguvuni kwa sababu ya kufanya mikutano ambayo ni halali kwa mujibu wa Katiba ya JMT.
Kazi ya chama cha siasa ni nini kama sio mikutano?

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Uko nje ya mada mkuu.

Ulichoandika hapo ni katiba unayoitaka wewe. Wengine nao wanataka tofauti.
Kwenye hali kama hii kiungwana:

"Utaratibu huwa mazungumzo, maridhiano na kura ya maoni huamua kwa kutoa ridhaa."

Tulipo ni kwenye kutaka mchakato wa katiba kuanzishwa kwa sababu kuna wanaoona kuna mapungufu ya msingi.

Kwanini nyinyi kuinyanyapaa hatua hii? Kwani kama hatua hii hamuitaki basi haiwahusu. Yanini basi kuishadaddia hivi?

Kwani inawawasha vipi basi hali haiwahusu?

Bwana Jumbe Brown mwongozo wako tafadhali.
Sawa mkuu.....

Kwani serikali 2 za JMT zinaweza kuhojika na kutaka maridhiano juu yake bila ya kupelekea kuvunjika kwa muungano wetu adhimu?!!!

Tuanzie hapa komredi..
 
Mbowe ni mwenzetu huyo hatuna tatizo nae kwa sababu anaturahisishia kazi ya kuwajua wapinzani wa kweli na wasiokuwa wa kweli. Sema watakaounga tela eti wanamuunga mkono mwenyekiti ndo itakula kwao, maana imeandikwa kila mchuma janga hula na wa kwao. Kumbuka wakati wa kuanzisha vyama vingi kulikuwa na makubaliano maalum kati ya watu wa vitendo na wenyeviti wa vyama vinavyoitwa vya upinzani. Kwahiyo kwa mwenye akili tayar ashajua Mbowe ni mtu wa aina gani ndan ya chama, ukijumlisha na kilichotokea mwaka 2015 kumleta Lowasa na Sumaye ndan ya chama.
[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji36][emoji36][emoji36][emoji36]
 
Mwamba mwenyewe Freeman Mbowe , Mtemi Isike ama Aboubakar Mbowe kama anavyofahamika huko Zanzibar , akiongea na Waandishi wa Habari Jijini Mwanza , ametangaza kuendelea kufanyika Makongamano ya ndani na ya amani ya Katiba mpya nchi nzima , huku lile la Mwanza lililohujumiwa likipangwa kukamilishwa wiki hii .

Akiongea kwa kujiamini na kwa msisitizo mkubwa huku akiwa kavaa kofia maarufu ya ukombozi , Laingwanan Mbowe kama anavyofahamika huko kwa Wamasai , amesema kwamba ikiwa kufanya makongamano ya ndani ya Kudai Katiba mpya ni uvunjifu wa katiba basi waanze kumkamata yeye leo hii .


View attachment 1859633


aNAONGELEA KATIBA TA CHAMA CHA MAENDELEO NA DEMOKRASIA (CHADEMA) AU.
 
Back
Top Bottom