Freeman Mbowe atangaza kufanya Makongamano ya Katiba mpya nchi nzima, la Mwanza kufanyika wiki hii

Freeman Mbowe atangaza kufanya Makongamano ya Katiba mpya nchi nzima, la Mwanza kufanyika wiki hii

Ni katiba mpya ya nchi, kwa nini Mbowe mwenyekiti wa chama cha siasa ndiye aidhinishe makongamano? Au makongamano ya katiba mpya ni ya CHADEMA tu?
 
Mwamba mwenyewe Freeman Mbowe , Mtemi Isike ama Aboubakar Mbowe kama anavyofahamika huko Zanzibar , akiongea na Waandishi wa Habari Jijini Mwanza , ametangaza kuendelea kufanyika Makongamano ya ndani na ya amani ya Katiba mpya nchi nzima , huku lile la Mwanza lililohujumiwa likipangwa kukamilishwa wiki hii .

Akiongea kwa kujiamini na kwa msisitizo mkubwa huku akiwa kavaa kofia maarufu ya ukombozi , Laingwanan Mbowe kama anavyofahamika huko kwa Wamasai , amesema kwamba ikiwa kufanya makongamano ya ndani ya Kudai Katiba mpya ni uvunjifu wa katiba basi waanze kumkamata yeye leo hii .


View attachment 1859633
Nikajua unamsemea Aboubakar Shekau wa Nigeria
 
Mjue tu kuna delta variant, na Mbowe ameshachanjwa sasa nyie nendeni mkakongamane yeye anajua pa kujitibia[emoji1787][emoji1732][emoji205]
Si huwa mnasema hakuna corona na kama ipo tuonyeshe jirani hata mmoja aliyekufa kwa covid
 
Mwamba mwenyewe Freeman Mbowe , Mtemi Isike ama Aboubakar Mbowe kama anavyofahamika huko Zanzibar , akiongea na Waandishi wa Habari Jijini Mwanza , ametangaza kuendelea kufanyika Makongamano ya ndani na ya amani ya Katiba mpya nchi nzima , huku lile la Mwanza lililohujumiwa likipangwa kukamilishwa wiki hii .

Akiongea kwa kujiamini na kwa msisitizo mkubwa huku akiwa kavaa kofia maarufu ya ukombozi , Laingwanan Mbowe kama anavyofahamika huko kwa Wamasai , amesema kwamba ikiwa kufanya makongamano ya ndani ya Kudai Katiba mpya ni uvunjifu wa katiba basi waanze kumkamata yeye leo hii .


View attachment 1859633
Ila we jamaa unapenda kulambisha Mambo Moto daah, halaf eti mtemi isike cjui nn cjui
 
🤣🤣Aboboubar Mbowe anajidanganya tu....

Watanzania wanataka hali Bora za maisha yao kama vile kuchukizwa na hii tozo ya fedha mitandao ya simu ambayo inakwenda kuondolewa....

Katiba MPYA ni kelele zisizokoma za kikundi kidogo cha wanasiasa.....

Jidanganyeni. Uzuri ni kuwa hata huwa hamkumbuki mliwahi kusema nini.

IMG_20210711_205649_038.jpg


Vyawa wa Mama na wa legacy kwenye katiba mpya lao moja.

Wa legacy wao ni wahanga wa ujinga na brainwashing. Wamebakia kuwa misukule kamili ya yule bwana akiwa hai au mfu.

Wa Mama wao wako kimaslahi zaidi.

Au nasema uongo ndugu zangu.
 
🤣🤣Hana lolote huyo....

Mbona hakujitokeza pale UBUNGO kipindi kile baada ya uchaguzi wa 2020?!!

Nilitegemea awashauri wanawe wa kuzaa kumwakilisha katika yale MAANDAMANO MFU?!!!

Wanawe hawakujitokeza....

Na wala hawajitokezi katika makongamano na maandamano anayoitisha yeye na CHADEMA....

Ha ha ha wanasiasa hawa laghai sana.....

Chawa wa Mama kwenye ubora wako.

Tatizo hoja, nondo, au points zenu ni zipi za kuwapinga wengine kudai katiba mpya?

Kwanini mnakereka mno mkisikia katiba mpya? Angalau mngekuwa mna address hilo.

Kwani nyie kama hamna haja nayo kwanini kuwanyanyapaa wanaoitaka?

Hivi hata nyie wenyewe hamjishangai?
 
Chadema tuhurumieni wafuasi wenu kwa kweli.

Punde tu mama ametoka kutufikiria punguzo la tozo za kizalendo ghafla Mbowe anawaambia polisi atafanya mikutano nchi nzima wakitaka wamkamate.

Yaani mwenyekiti wa Chadema anatangaza kuvunja sheria hadharani kisha siye na akina Mrangi tutaombwa michango ya wakili wa kumtetea.

Ufipa acheni hizo bhana.

Nawasalimu kwa jina la JMT!
 
Chawa wa Mama kwenye ubora wako.

Tatizo hoja, nondo, au points zenu ni zipi za kuwapinga wengine kudai katiba mpya?

Kwanini mnakereka mno mkisikia katiba mpya? Angalau mngekuwa mna address hilo.

Kwani nyie kama hamna haja nayo kwanini kuwanyanyapaa wanaoitaka?

Hivi hata nyie wenyewe hamjishangai?
Mkuu hoja zetu ni zilezile:

1)Serikali 2 ndio UTULIVU wa hivi ilivyo Tanzania(wale wanasiasa wa G55 wangetupeleka siko).

2)Katiba hata iwe nzuri kiwango cha kusifiwa na malaika....wanasiasa wanabaki kuwa ni kundi lisiloridhika(kuridhika kwao ni kuwepo madarakani tu).Hapa wapiga nzumari za katiba mpya ni haohao wanasiasa tu....tena KUNDI LA UPINZANI!!!

3)Afrika ya kusini ina katiba inayoweza mpaka kumshtaki RAIS...Ila bado haikuzuia VURUGU na MACHAFUKO YA KIJINGA baada ya Rais mstaafu kushtakiwa.

4)Ukipunguza NGUVU ZA MADARAKA ZA RAIS umeyatafuta matatizo kwetu WAAFRIKA.....kupinduana na Kusababisha kukosekana UTULIVU wa nchi kutakuwa kila uchao.Hilo pia limeonekana kule HAITI....katiba yao haimpi Rais wao hayo MADARAKA MAKUBWA.....
 
Chadema tuhurumieni wafuasi wenu kwa kweli.

Punde tu mama ametoka kutufikiria punguzo la tozo za kizalendo ghafla Mbowe anawaambia polisi atafanya mikutano nchi nzima wakitaka wamkamate.

Yaani mwenyekiti wa Chadema anatangaza kuvunja sheria hadharani kisha siye na akina Mrangi tutaombwa michango ya wakili wa kumtetea.

Ufipa acheni hizo bhana.

Nawasalimu kwa jina la JMT!
 
Chadema tuhurumieni wafuasi wenu kwa kweli.

Punde tu mama ametoka kutufikiria punguzo la tozo za kizalendo ghafla Mbowe anawaambia polisi atafanya mikutano nchi nzima wakitaka wamkamate.

Yaani mwenyekiti wa Chadema anatangaza kuvunja sheria hadharani kisha siye na akina Mrangi tutaombwa michango ya wakili wa kumtetea.

Ufipa acheni hizo bhana.

Nawasalimu kwa jina la JMT!
CHADEMA haikuhusu wewe mtafute Madelu muongee nae tukutane DK 45 leo usiku kama kitarushwa
 
Chadema tuhurumieni wafuasi wenu kwa kweli.

Punde tu mama ametoka kutufikiria punguzo la tozo za kizalendo ghafla Mbowe anawaambia polisi atafanya mikutano nchi nzima wakitaka wamkamate.

Yaani mwenyekiti wa Chadema anatangaza kuvunja sheria hadharani kisha siye na akina Mrangi tutaombwa michango ya wakili wa kumtetea.

Ufipa acheni hizo bhana.

Nawasalimu kwa jina la JMT!
Kwa hiyo Tanzania mnaishi kwa hisani ya Rais?
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Back
Top Bottom