Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
Ukawa ni gari iliyo speed na haina kuchimba dawa, ukibanwa na haja ruka kutokea dirishani kama mzee slaa
Padri aliyeshindwa utumishi
Hahahaaaaa aisee watu mtamuua babu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukawa ni gari iliyo speed na haina kuchimba dawa, ukibanwa na haja ruka kutokea dirishani kama mzee slaa
Padri aliyeshindwa utumishi
Mbona ni yeye ndio anayekimiliki mpaka kuamua kukiuza?Anawapa fact wajue Chama hakiyumbishwi na mtu mmoja sababu chama hakina mmiliki bali wanachama
Treni ya mbowe itafika Kigoma na abiria wachache sana kama mwendo wake ndio huu..
CHADEMA ishapoteza muelekeo ata ufisadi amuwez kuuzungumzia
Ukawa ni gari iliyo speed na haina kuchimba dawa, ukibanwa na haja ruka kutokea dirishani kama mzee slaa
Padri aliyeshindwa utumishi
Kwekwekwekwe... inaonekana limagufuli na maCCM yenyewe yatakuwa yanasimamisha kalendaWakati huo huo, Mbowe alisema kutokana na muda mfupi wa kampeni uliopangwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), mgombea wao wa urais na mgombea mwenza wake, Duni Haji, hawataweza kufika majimbo yote nchini.
Mbowe alihutubia mkutano mkuu Wa chama akawaambia kua Dr. Slaa yupo mapumzikoni ataungana nao mbele ya safari sasa kaumbuka. Viongozi waongo ni hatari Sana kwa Taifa by Dr. Slaa
Mbona ni yeye ndio anayekimiliki mpaka kuamua kukiuza?
Ukweli utapotoshwa sana kipindi hiki
Mbowe amesema chama siyo mali ya mtu ni mali ya wanachama kwa hiyo ajitayarishe kuondoka kwani hajawaambia viongozi wenzake ukweli kuhusu mchakato wa kumpokea fisadi lowasa. Viongozi mwongo hafai!
Mbowe alihutubia mkutano mkuu Wa chama akawaambia kua Dr. Slaa yupo mapumzikoni ataungana nao mbele ya safari sasa kaumbuka. Viongozi waongo ni hatari Sana kwa Taifa by Dr. Slaa